Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya ,wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana. Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko,wenye kupenda madem wengi, wenyekupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.Je kuna ukweli ktk hili?