Wanaume wapo makini na jasho lao

Wanaume wapo makini na jasho lao

cathy14

Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
37
Reaction score
23
Jamani wasichana wenzangu punguzeni kusachi na kuwaibia wenzi wenu hela kwenye wallet na mifuko ya suruali!

Shost angu ananiomba ushauri nawakati kalikoroga mwenyewe hata cha kumshauri nimekosa, MTU wake kambamba akichomoa hela kwenye wallet yake baada ya hapo jamaa katoa kibuti akisema amemvumilia amechoka.

Mmmh kazi ipo uaminifu zero na tamaaa ya pesa jamani, turidhike na kile tupewacho hata kama unasema mwenzio hafatilia lakini hakuna watu walio makini kama wanaume!
 
Mwanamke na udokozi haipendezi kwanini hamuombi?

Mimi huyo nikimfuma simpigi wala simpeleki polisi naachana nae kisaikolojia kwa raha na amani tena muda napitisha baada ya tukio, mfano kadokoa leo mimi baada ya wiki mbili au mwezi ndio namuacha tena bila ya yeye kujua kosa la kuachwa
 
Mwanamke na udokozi haipendezi kwanini hamuombi?

Mimi huyo nikimfuma simpigi wala simpeleki polisi naachana nae kisaikolojia kwa raha na amani tena muda napitisha baada ya tukio, mfano kadokoa leo mimi baada ya wiki mbili au mwezi ndio namuacha tena bila ya yeye kujua kosa la kuachwa

hahahaha uwii mnanichekesha sana....
yaan uniambie unaniacha hivi. bila kuniambia sababu sikubali
 
Mm kuna dada mmoja alinifanyia hivyo sikumwambia kitu...siku aliyopata tatizo kuniomba hela nikamrushia nusu nkamwambia ongezea na zile ulichukua siku ile.
 
Hivi unaanzaje kusachi suruali na kuchomoa hela???? Duuuh inabid kuwa na roho ngumu Sana. Hata Kama no Shida mmmh!!!
 
Pole yake kwa maana sio material woman.
Yeye hatoi bure alitaka kuchukua malipo yake
 
Hapo dawa ni kumchenjia tu.
Unampa kichapo baadaye polis anakaa kama wiki hvi halafu kibuti
 
Ila wanaume wengine wanaboa jamanii..wabahili sana...acha tu waendelee kusachiwa,,ila mie cnt do that...maana cjafunzwa hivoo kuomba omba na kuwa na mitaa isiyoeleweka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom