MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
Sijui nianze na tusi au nianze kwakuwachapa bakora?
Sio siri ipo ukingoni sasa najua ni vigumu kuamini ila inabidi tujitahidi kuamini kunamitindo mipya ya pamba imetoka siku hizi haki ya Mungu wanaume tunakoelekea tutavaa hadi madera.
eti wenyewe wanaita new swagg yaani mwaume mzima na kengere zake anavaa suti ya kitenge ukimuuliza anakwambia anaenda na wakati sasa huku ni kwenda na wakati au kwenda kwenye ushoga bila kujijua yaani nyumbani dadaako kavaa kitenge/mamaako kitenge na wewe mtoto wa kiume unavaa kitenge.
Mkisimama wote utafikili wanenguaji wa bendi ya twanga pepeta, Pumbavu mnatudhalilisha wanaume wenzenu, basi vaani hata bikini tu.
NAMALIZA NA DADA ZETU.
Kama fasheni dada zetu zitawatokea puani siku izi kunawadada hasa hasa watoto wa vyuo vikuu wenyewe wanajiita wasomi, wanavaa nguo nyepesi mchana kweupe chupi Zinajichora kama ramani ya Dunia Hlafu wakipita barabarani wanavyo jibinua utafikiri fuso imekosa
muelekeo, Anza kukemea sasa utawasaudia wengine hata kizazi chako.
Sio siri ipo ukingoni sasa najua ni vigumu kuamini ila inabidi tujitahidi kuamini kunamitindo mipya ya pamba imetoka siku hizi haki ya Mungu wanaume tunakoelekea tutavaa hadi madera.
eti wenyewe wanaita new swagg yaani mwaume mzima na kengere zake anavaa suti ya kitenge ukimuuliza anakwambia anaenda na wakati sasa huku ni kwenda na wakati au kwenda kwenye ushoga bila kujijua yaani nyumbani dadaako kavaa kitenge/mamaako kitenge na wewe mtoto wa kiume unavaa kitenge.
Mkisimama wote utafikili wanenguaji wa bendi ya twanga pepeta, Pumbavu mnatudhalilisha wanaume wenzenu, basi vaani hata bikini tu.
NAMALIZA NA DADA ZETU.
Kama fasheni dada zetu zitawatokea puani siku izi kunawadada hasa hasa watoto wa vyuo vikuu wenyewe wanajiita wasomi, wanavaa nguo nyepesi mchana kweupe chupi Zinajichora kama ramani ya Dunia Hlafu wakipita barabarani wanavyo jibinua utafikiri fuso imekosa
muelekeo, Anza kukemea sasa utawasaudia wengine hata kizazi chako.