Wanaume wanatega pia (trap)

Wanaume wanatega pia (trap)

HoneyBee

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
912
Reaction score
864
Hii nimetoa forum nyingine na kutafsiri kwa uwezo wangu (I'm not a professional sorry).

Tunasikiaga wanaume wakasema kuwa wanawake wanawateshea ili washike mimba. Jambo ambalo lina ukweli, lakini tusichokiongelea ni kuwa wanaume pia wana hii tabia.


Sababu kadhaa:


1. Kutaka kuendeleza uhusiano ambao huenda ulikuwa unaelekea kuisha ( to prolong a relationship)
2. Kulazimisha ndoa (force marriage). Nyuzi nyingi sana humu ushauri ni "wazazi wakikataa,jaza mimba!"
3. Kumharibia mwanamke mwenendo wa kazi na kumfanya amtegemee mwanamme kwa vyote (Sabotage her career and financial goals and trajectory)

4. Anataka kuonekana ni mwanamme rijali kwa kujaza wanawake mimba za hovyo (He thinks having a baby mamma or baby mammas makes him seem masculine and hypersexual)

5. Anataka kummiliki mwanamke, hata kama hatakuja kuwa mke wake anajua wanaume hawatamchukulia serious kama wife material kama alishazalishwa na mwanamme mwinginge (He wants to sabotage the womans dating options--- all things equal a childfree women or man is more attractive on the dating market)
6. Kumcontrol mwanamke. Ukishare mtoto na unatoa matumizi kwa ajili ya mtoto, unaweza kuendelea kumtawala mwanamke uliemzalisha mpaka mtoto akikua (minimum miaka 18)

7. Kwasababu ameshakuzalisha atataka uwezo wa kuja kwako kukumbushia, kata kama hampo pamoja, aidha alishaoa au anaendelea ku-date, lakini sababu mna mtoto anafikiri ataweza kurudi kwako kukumbushia any time haja ikija (He thinks you will be more desperate and available for sex. He thinks you will permanently be in his sex roster.)

Ushauri kwa wadada wenzangu, ukiona mwenzako ana dalili za kutaka kukuzalisha, bila hata kuongelea mambo ya ndoa, kumbuka point hapo juu. Fanya juu chini kuhakikisha unajiprotect, hao ndo wale wa kukataa condom. Ikibidi , tumia vidonge au aina nyingine ya uzazi wa mpango hata kama ni kisirisiri.

Lakini kama inabidi kutumia kisirisiri then hiyo ni ishara kuwa he is not the one.

Stay safe ladies.

Happy Sunday 😉



Source: https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC3282154/
 
What if mwanamke ndio akataka kuzaa hapa inakuaje kuaje
 
What if mwanamke ndio akataka kuzaa hapa inakuaje kuaje

Ndo hapo nilisema ni wanawake wanajulikana ni wao wanatega kumbe na wanaume wanatega pia.

Kama wote mnataka kuzaa ni makubaliano.

Hizo strategy zingine ndo hivo wanalazimisha jambo i.e. uhusuiano,ndoa nk.

Kama wote hamna mpango wa kuzaa jihadharini. Kondom zipo, vidonge vipo, na njia zingine nyingi.
 
fact.... a man can not tolerate defeat in love or war so he can do anything it's called fair
 
Nyie ndo mnatutega tuwatege ili iweje? Yaani tujifunge kwa mtu mmoja wakati nyapu zpo jingi kitaani
 
Mwanamke unategeshewa vipi mimba? Kwamba hujui siku zako za hatari ujiepushe au kuwa makini au?
 
Nyie ndo mnatutega tuwatege ili iweje? Yaani tujifunge kwa mtu mmoja wakati nyapu zpo jingi kitaani
Kuna majibu 8 hapo juu lakini naona ulisoma kichwa ujaruka ku-post bila kusoma.
 
"Kama unahitaji kutumia kisirisiri inaonyesha he is not the one.."

Kote umeandika point ila hii ndo pumba pekee.Hata kama upo na huyo the one wako NI UJINGA KUPATA MIMBA KAMA HUJAOLEWA na Ni jukumu lako kuzuia mimba kwa namna yeyote mpaka MDA sahihi ufike,upuuzi wa kudhani ukiwa na mwanaume sahihi unaweza kurupuka na kushika mimba ndo unawacost kila siku.Acha Kiherehere kaa kwa kutulia subiri MDA sahihi.
 
"Kama unahitaji kutumia kisirisiri inaonyesha he is not the one.."

Kote umeandika point ila hii ndo pumba pekee.Hata kama upo na huyo the one wako NI UJINGA KUPATA MIMBA KAMA HUJAOLEWA na Ni jukumu lako kuzuia mimba kwa namna yeyote mpaka MDA sahihi ufike,upuuzi wa kudhani ukiwa na mwanaume sahihi unaweza kurupuka na kushika mimba ndo unawacost kila siku.Acha Kiherehere kaa kwa kutulia subiri MDA sahihi.

In a perfect world mimba zote zingekuwa zinatungwa ndani ya ndoa lakini we don't live In a perfect world. Huo Ni upande mmoja.

Kwenye mila zingine unakuta wanataka mke mtarajiwa awe Ana mimba siku ya harusi ili kuhakikisha hakuna mgumba/tasa .
 
Kuna wanaotoboa kondom, wanaokataa kuvaa, wanaovua wakati wa tendo bila mwanamke kujua - hii ya mwisho ni Aina ya ubakaji Kwa kiingereza wainaita stealthing.


Mwanamke unategeshewa vipi mimba? Kwamba hujui siku zako za hatari ujiepushe au kuwa makini au?
 
In a perfect world mimba zote zingekuwa zinatungwa ndani ya ndoa lakini we don't live In a perfect world. Huo Ni upande mmoja.

Kwenye mila zingine unakuta wanataka mke mtarajiwa awe Ana mimba siku ya harusi ili kuhakikisha hakuna mgumba/tasa .
Sasa angalau basi uwe na mali umetolewa basi ushike mimba kipindi Cha vikao vya harusi...

Mnawahi mambo yasiyotaka haraka.
 
Hii nimetoa forum nyingine na kutafsiri kwa uwezo wangu (I'm not a professional sorry).

Tunasikiaga wanaume wakasema kuwa wanawake wanawateshea ili washike mimba. Jambo ambalo lina ukweli, lakini tusichokiongelea ni kuwa wanaume pia wana hii tabia.


Sababu kadhaa:


1. Kutaka kuendeleza uhusiano ambao huenda ulikuwa unaelekea kuisha ( to prolong a relationship)
2. Kulazimisha ndoa (force marriage). Nyuzi nyingi sana humu ushauri ni "wazazi wakikataa,jaza mimba!"
3. Kumharibia mwanamke mwenendo wa kazi na kumfanya amtegemee mwanamme kwa vyote (Sabotage her career and financial goals and trajectory)

4. Anataka kuonekana ni mwanamme rijali kwa kujaza wanawake mimba za hovyo (He thinks having a baby mamma or baby mammas makes him seem masculine and hypersexual)

5. Anataka kummiliki mwanamke, hata kama hatakuja kuwa mke wake anajua wanaume hawatamchukulia serious kama wife material kama alishazalishwa na mwanamme mwinginge (He wants to sabotage the womans dating options--- all things equal a childfree women or man is more attractive on the dating market)
6. Kumcontrol mwanamke. Ukishare mtoto na unatoa matumizi kwa ajili ya mtoto, unaweza kuendelea kumtawala mwanamke uliemzalisha mpaka mtoto akikua (minimum miaka 18)

7. Kwasababu ameshakuzalisha atataka uwezo wa kuja kwako kukumbushia, kata kama hampo pamoja, aidha alishaoa au anaendelea ku-date, lakini sababu mna mtoto anafikiri ataweza kurudi kwako kukumbushia any time haja ikija (He thinks you will be more desperate and available for sex. He thinks you will permanently be in his sex roster.)

Ushauri kwa wadada wenzangu, ukiona mwenzako ana dalili za kutaka kukuzalisha, bila hata kuongelea mambo ya ndoa, kumbuka point hapo juu. Fanya juu chini kuhakikisha unajiprotect, hao ndo wale wa kukataa condom. Ikibidi , tumia vidonge au aina nyingine ya uzazi wa mpango hata kama ni kisirisiri.

Lakini kama inabidi kutumia kisirisiri then hiyo ni ishara kuwa he is not the one.

Stay safe ladies.

Happy Sunday 😉

Naomba namba yako tuongee

Source: https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC3282154/
 
Back
Top Bottom