Wanaume wanaposhikwa na tamaa

Kipendacho roho. Ushawahi kukutana na mwanamke alijiendeleza alivyo na tambo?!! Hata kama shule yenyewe ilikuwa ya kuunga unga. Utajuta kumfahamu.
Tena hawa wenyw shule za kuunga ni hatari. Wakishamaliza hizo shule dharau kwa waliowawezesha zinazidi. Wakati mwingine kumuwezesha mwanamke ni kujitengenezea bomu. Wengine inabidu wabaki chini ndo wanakuwa binadamu la sivyo ni kama wanyama.
 
Mimi nauliza tu.

Kwa nini hawa mabinti(house girl) wa kulea huwa wananawiri na kupendeza sana ikifika muda fulani hadi kuleta vurugu hizi?

Tukitambua chanzo na tatizo tutalipatia ufumbuzi.

Ananawili kwasababu....

-Anakuwa nakupevuka, nikawaida hata kuku, mbuzi nk wakifikia kukomaa hunawili sana

- Matunzo, uangalizi na malisho

- Utulivu wa akili kama hapati bughudha

Hapo hupati majibu mkuu
 
Kwangu nshaacha kuleta house girl ninaishi na two boys na mtoto wa kike wa wifi yangu, kwa hiki kisa unaweza kuchinja mtu ya nini sasa!!
 
Mtu yuko 21 bado unamuita mtoto? Tatizo la wanawake mnajisahau sana, ukiishaitwa mke unafikiri umefika wewe ndo wa mwisho.
Hivi wanaume lini mtaacha kuwalaumu wanawake kwa makosa mnayofanya wenyewe kwa makusudi kabisa?
 
Hivi wanaume lini mtaacha kuwalaumu wanawake kwa makosa mnayofanya wenyewe kwa makusudi kabisa?
Ndo tulivyoumbwa hivyo, kichwa kidogo kinaonea wivu kichwa kikubwa. Kikubwa kikila na kushiba lazima kidogo nacho kidai kula. Imagine mke is not reachable kwa miezi halafu yupo house girl mbichi bado pua yake inavuja jasho, ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
Nikikubamba nakulazimisha umgegede hausi gelo kwa takribani masaa 5 mfululizo nikishuhudia kwa masikio na macho yangu.
 
Nikikubamba nakulazimisha umgegede hausi gelo kwa takribani masaa 5 mfululizo nikishuhudia kwa masikio na macho yangu.
Sasa huo utakuwa uchokozi..! Ukikuta hivyo usiwe na papara vinginevyo utaachika wewe unamuacha binti anafaidi.
 
Mkuu,hii story najua inaweza kuwa inakuhusu ww au jirani yko au rack yako...,kutokana na maelezo yako ni kwamba tukio lilitokea baada ya mama mwenye nyumba kwenda masomoni
Jifunze jamabo hili na umuelimishe na m2 mwingine... 'Unapotaka kwenda masomoni hakikisha hauna ndoa,pia unapotaka kuingia kwenye ndoa hakikisha umeshamaliza kusoma' na ukifanya kinyume na hapo tegemea hayo yaliyotokea kwenye story yako!
 
Asee haya mambo ni kuomba Mungu ayaepushe,mi sijui nitamfanyaje huyo mwanamke!
Kweli omba Mungu yasikukute maana unaweza jiapiza utafanya hivi au vile kisha likakutokea kweli ukashindwa fanya lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…