Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu 1. Hawajui kujali 2. Hawajui mapenzi 3. wanapenda kutunzwa Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali sitaki jitu lakuja kuniletea malaana mimi. Kama uko serious ni PM tuanze mchakato.