Wanaume wanaopenda kununa

"Unataka Mpalange?" .....wow!! Mkuu huwa unapenda sana kupelekwa buza?


Ama kweli penye miti hapana wajenzi.....
 
Wanashindana na wanawake, hawajui kuwa wanaheshima sana ndani ya familia....huo ni umama
 
Labda unachanganya kati ya Wanaume na Watoto, angalau Mwanamke akinuna inaweza kukubalika na kueleweka lakini Mwanaume kununa? Basi ujue huyo ana arrested development au amefubaa kiakili, jaribu ku-date Wanaume na siyo watoto.
Nimejifunza kitu....kumbe akili inakuwa imefubaaa
 
Wakuu, kwa mpalange ni wapi? Au ana maana gani kupelekwa kwa mpalange. Sisi vijana wa zamani hizi lugha ni gongana kabisa.
 
Ukute alikuwa anajutia kumsaliti mke wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…