Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,642
- 112,763
Hilo janaume halina akiliYaani Ni Bora arudi kufanya kazi zake za ndani tuuu.... Nakaonea huruma tuu Kama tayar kamebeba mimba maana ndo mtiani mwingine utampata zaidi
Hilo janaume halina akiliYaani Ni Bora arudi kufanya kazi zake za ndani tuuu.... Nakaonea huruma tuu Kama tayar kamebeba mimba maana ndo mtiani mwingine utampata zaidi
Basi kwa utaratibu huo utaendelea kumuonea sana huruma,na mwisho wa siku kuwa makini sana usije pewa zigo la kuharibu ndoa husika ukabaki njia panda ukijishangaaWala sio mkurya.... Alaf Nia yangu sio azibuliwe masikio Nia yangu Ni asiteseke kwa ndoa yake
Basi huyo atakuwa bazazi, yaani watoto wa huko wanavyokuwaga watamu mnato anapata wapi nguvu za kumpiga Kofi! Au ana stress za maisha!Na huyu ametokea vijiji vya huko huko TANGA ila sio lushoto...... Kenyewe kanasema kalikua kanafanya kazi za ndani wazazi wake wakakaita ili kaje kaolewe
jinsi ya kumsaidia huyo mtoto japo ni km njia sio njema km ww ni me basi mtongoze afu baada ya hapo anaweza tii kila unachomwambia km vle kuwa taarifu ndg zeNdo hivyo maana anatoka kupigwa huko analiaaa then anatoka nje anaongea anacheka.... Nikamwambia Kuna baadhi ya vitu usione aibu kusema sema usaidike yaan hata kumpelekea uyu mpuuz polic tuu huenda angeacha kumpiga..... Leo amesahau kuchoma dawa ya mbu.... Narudia Tena dawa ya mbu ile ya kuchoma sijui Ni sh Mia tano sijui mwanaume akampiga mpaka huku nilipo nikasikia kakisema ( huku kanalia) Aya naendaa then aka kaa kama dakika tano akatoka nje kufata mkaa kwenye jiko Kuna mtu akamuongelesha akajibu as if hamna baya lililo mpata huko ndani nika shindwa kumuita.....
Roho inaniumaa namuona Kama mdogo wangu kabisa
Nahisi una maumivu ya kuliwa na huyo bwana kisha kukuacha.Wewe jirani weweeee may thunder strike you.... Shenzi kabisaaa.....
Ipo ivi hapa nnapokaa nna jirani yangu Ni mwanaume alioa mwezi uliopita zile ndoa za ramadhani zile... Sasa kilichonifanya nianzishe Uzi Ni jinsi anavo mtreat mkewe yaan sio sawa kabisa , kwanza binti wa watu ana miaka kumi na Tisa tuu kametolewa kijijini kuletwa mjini Kuja kuteseka kabinti kawatu kanapigwa na ndo kwanza ndoa Haina hata miezi mitatu.... Mwanaume Ni Malaya huyuuu kila nikirudi kutoka kwenye mizunguko yangu namfuma maeneo ya hatari ila najikausha tuu Leo nimeshindea kuvumilia kwakweli maana leo tena kampiga vibao mtoto wa watu kwa kosa la kijinga kabisa.....
Swali langu kwa wanaume wa huku jf wenye tabia Kama hi kwanini ukaoe mtoto wa watu mdogo anaesalimia kwa kupiga goti uje umtese???? SI Bora utafute gume gume za huku mjini tuuu.....
Wito kwa wazazi na wale wenye ndugu zao vijijin msiozeshe mabinti zenu wadogo kwa mwanaume ambae hajajuana nae yaan amekuja tuu kijijin kwa ajil ya kutaftiwa mke tuuu wanakuja kuteseka huku jamani...
Uyu msichana anapenda kajifunika funika kumbe anaficha alama za alipopigwa
Wewe mwanaume wewe naomba Mungu uwe tuu jf uje usome hapa ili angalau uache ujirekebishe
Umeniita?Nahisi una maumivu ya kuliwa na huyo bwana kisha kukuacha.
Huwa sishauri kabisa ndugu yangu kuoa mwanamke aliyezaliwa na kukulia mjini karibu wote huwa wanakuwa na wanaume nje ya ndoa.Hilo nimethibitisha mwenyewe kuwa ni rahisi sana kumla mke wa mtu ambaye amekulia mjini kuliko mkr wa mtu aliyetoka kijijini.
funzadume
GENTAMYCINE
Mshana Jr
Mimi sio me alafu pia hata Kama ningekua me sio sahihi kutongoza Bibi ya mtujinsi ya kumsaidia huyo mtoto japo ni km njia sio njema km ww ni me basi mtongoze afu baada ya hapo anaweza tii kila unachomwambia km vle kuwa taarifu ndg ze
Sijaliwa na huyu mwanaume na Wala sijawahi kuwa na mahusiano nae........ Waambie hao ndugu zako wasitese watoto wa watuNahisi una maumivu ya kuliwa na huyo bwana kisha kukuacha.
Huwa sishauri kabisa ndugu yangu kuoa mwanamke aliyezaliwa na kukulia mjini karibu wote huwa wanakuwa na wanaume nje ya ndoa.Hilo nimethibitisha mwenyewe kuwa ni rahisi sana kumla mke wa mtu ambaye amekulia mjini kuliko mkr wa mtu aliyetoka kijijini.
funzadume
GENTAMYCINE
Mshana Jr
Ni wengi tu mbona. Mwingine yupo afande mmoja hivi naye kaoa kijiji cha Salong'we huko Magu Mwanza. Jamaa anapiga, kwanza jamaa mruka njia tu. Anakuja na kahaba hadi nyumbani. Mwishowe kabint kameamua kutoroka na kurud kwao kijijini.
Sababu ni kipondo na umalaya wa huyo mura
Ni wengi tu mbona. Mwingine yupo afande mmoja hivi naye kaoa kijiji cha Salong'we huko Magu Mwanza. Jamaa anapiga, kwanza jamaa mruka njia tu. Anakuja na kahaba hadi nyumbani. Mwishowe kabint kameamua kutoroka na kurud kwao kijijini.
Sababu ni kipondo na umalaya wa huyo mura
Na akome kumpiga mtoto wa watu....... Kamwambie ( Kama unamjua or umemjua)..... Binti wa watu mpole ana heshima ingawa bado ana vimambo vyake vya kitoto kwa sababu umri unamruhusu....
Angekutana na wewe ConcordMiaka 19 ni mdogo sana.
Pengine hata mwanaume anaongea na vicheche wake mbele yake na hakafanyi kitu.
Huyo mwanaume angenioa mimi ningeshamkata naniii zake nichemshe supu. Nimechukia sana
Anamuonea kwa vile mtoto jamani, lakini sio vizuri hata kwa bed nahisi hakaandaliwi kanashtukia mashine inazama tu duh.