Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,275
- 50,087
Usisahau kunitag
Hakika nikipata nafasi nitarudi huku kwakweli
Hakika nikipata nafasi nitarudi huku kwakweli
@kapeace
Unatakiwa utafte namna ya kumsaidia kwnza uzi badaeWewe jirani weweeee may thunder strike you.... Shenzi kabisaaa.....
Ipo ivi hapa nnapokaa nna jirani yangu Ni mwanaume alioa mwezi uliopita zile ndoa za ramadhani zile... Sasa kilichonifanya nianzishe Uzi Ni jinsi anavo mtreat mkewe yaan sio sawa kabisa , kwanza binti wa watu ana miaka kumi na Tisa tuu kametolewa kijijini kuletwa mjini Kuja kuteseka kabinti kawatu kanapigwa na ndo kwanza ndoa Haina hata miezi mitatu.... Mwanaume Ni Malaya huyuuu kila nikirudi kutoka kwenye mizunguko yangu namfuma maeneo ya hatari ila najikausha tuu Leo nimeshindea kuvumilia kwakweli maana leo tena kampiga vibao mtoto wa watu kwa kosa la kijinga kabisa.....
Swali langu kwa wanaume wa huku jf wenye tabia Kama hi kwanini ukaoe mtoto wa watu mdogo anaesalimia kwa kupiga goti uje umtese???? SI Bora utafute gume gume za huku mjini tuuu.....
Wito kwa wazazi na wale wenye ndugu zao vijijin msiozeshe mabinti zenu wadogo kwa mwanaume ambae hajajuana nae yaan amekuja tuu kijijin kwa ajil ya kutaftiwa mke tuuu wanakuja kuteseka huku jamani...
Uyu msichana anapenda kajifunika funika kumbe anaficha alama za alipopigwa
Wewe mwanaume wewe naomba Mungu uwe tuu jf uje usome hapa ili angalau uache ujirekebishe
Ahahahahaahahha wakati unamkata yeye anakuwa wapi? Anafanya nini? Asije akakukata wewe akatengeneza KANGE MOJA HATARI LA NANILIYUUUUMiaka 19 ni mdogo sana.
Pengine hata mwanaume anaongea na vicheche wake mbele yake na hakafanyi kitu.
Huyo mwanaume angenioa mimi ningeshamkata naniii zake nichemshe supu. Nimechukia sana
Hivi unadhani wa vijijini HAWAPIGI WAKE ZAO?Huu Uzi unawahusu wanaume wa mjini tu!!! Siwezi comment chochote
Badala ya kusema home kwake, atasema kwa mumewe uje upigwe na wewe sasa..Yaan sijui hata nimsaidiaje.... Nlimwambia awaambie nyumbani kwao akaniambia cm yake Haina ela nikampa ela akaweke vocha sijui hata Kama alisema......
Kenyewe kanasema nyumbani kwao wamemuambia ndoa Ni kuvumilia.... Aliniambia ivyo mtoto mwenzie ambao wanashinda wote..... Alaf Sasa saa zingine kanapigwa alaf kanatoka nje kanacheka na kuongea hata hakanuni jamani..... Nyie wanaume nyieee na nyinyi mtazaa tuu watoto wa kike
Uwe na uwezo huo sasa....😂😂nipigwe kisa nini..... Asubutu nitamuonyesha asifikiri kila mtu Ni wa kupigwa