haya kila la heri katika kutafutaSina wife baby,ningekuwa nae usingeniona humu,natamani nami nipate wife hivi karibuni,ndio maana unaniona najaribu bahati humu,ingawa wengi wanafikiri kupata mrembo wa maisha humu haimwezekani,hapana sio kweli coz humu kuna wanawake wengi waliopitia maisha na wanajua maisha ni nini?pia wako huru kama mimi nitajiongeza na kuwaheshimu,basi tunaweza kuwa mwili mmoja mpaka kifo kitutenganishe baby au vipi?
nikaribishe bac tu share ujuzi ...Napenda rough sex [emoji23]
Unataka akatike wapi ndo upendeHivi ni kwanini wanaume wanakatika sana wakiwa wanacheza mziki wanamaanisha nini? Yaani sipendi kabisa kuona mwanaume akikata mauno hata hawa wasanii wetu wanaudhi na kukera aisee.
Hamumuoni Darasa anavaa vyema, havai hereni, anavyocheza sasa kigentlemen mpaka unapenda tu kumuangalia, hivi na kina Chriss Brown wanakatika hivi kweli sijawahi ona hayo mauno mnayokatika hadharani hebu yapelekeni kitandani kwa wake zenu au wapenzi wenu.
Napenda sana mwanaume mgumu akicheza mziki acheze kiuanamme mfano Fid Q hua hakatiki na yuko poa tu. Sasa ukienda club sehemu za starehe wanaume wanakatika unakuta limtu linakatika linataka licheze nawe aisee hua sitaki kabisaa, mwanaume unakatika ya niniii?
Jifunzeni basi kupitia hawa kina Darasa, Joh Makin, Niki wa pili na vijana wengine wanaocheza vyema tu, hayo mauno katikeni kwenye viuno vyetu kama mnajua kukatika kweli bana.
Yaani wanaume wanaokatika wakiwa wanacheza mziki wanakeraa aisee na vinguo vyenu vya kubana.
Tusameheane tu ila ukweli usemwee
Story inatusaidia nini km kiuno kinachokatwa si chakoHivi ni kwanini wanaume wanakatika sana wakiwa wanacheza mziki wanamaanisha nini? Yaani sipendi kabisa kuona mwanaume akikata mauno hata hawa wasanii wetu wanaudhi na kukera aisee.
Hamumuoni Darasa anavaa vyema, havai hereni, anavyocheza sasa kigentlemen mpaka unapenda tu kumuangalia, hivi na kina Chriss Brown wanakatika hivi kweli sijawahi ona hayo mauno mnayokatika hadharani hebu yapelekeni kitandani kwa wake zenu au wapenzi wenu.
Napenda sana mwanaume mgumu akicheza mziki acheze kiuanamme mfano Fid Q hua hakatiki na yuko poa tu. Sasa ukienda club sehemu za starehe wanaume wanakatika unakuta limtu linakatika linataka licheze nawe aisee hua sitaki kabisaa, mwanaume unakatika ya niniii?
Jifunzeni basi kupitia hawa kina Darasa, Joh Makin, Niki wa pili na vijana wengine wanaocheza vyema tu, hayo mauno katikeni kwenye viuno vyetu kama mnajua kukatika kweli bana.
Yaani wanaume wanaokatika wakiwa wanacheza mziki wanakeraa aisee na vinguo vyenu vya kubana.
Tusameheane tu ila ukweli usemwee
Kwa hiyo hutaki kunpa msaada ktk kutafuta?haya kila la heri katika kutafuta
mmmh mtu hatafutiwi mke au mume..anatafuta mwenyeweKwa hiyo hutaki kunpa msaada ktk kutafuta?
Sasa mamii,kwani hujui hiyo ni indirect approach? mtu mzima huitaji dictionary kujua kila neno mamii.mmmh mtu hatafutiwi mke au mume..anatafuta mwenyewe
ahahaSasa mamii,kwani hujui hiyo ni indirect approach? mtu mzima huitaji dictionary kujua kila neno mamii.
Hapa naona automatic inataka kutokea,ngoja nikomae zaidi.ahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23]bibie..wewe juzi si ndio umekuja na mfano picha wa aina ya mwanaume anayekuvutia?....vigezo vyote alivyokua navyo leo hii unavichukia tena?!?..yamekuwa hayo?!...hizi pilau za christmas hizi!!!!
Weka picha ya kijana anaevutia
Thread by: Dinazarde, Dec 11, 2016, 253 replies, in forum: JF Chit-Chat
Weka kavideo nikaone basi...Ila darasa anacheza vizur bwana, ile mikono anavoichezesha unataman uendelee kumtazama tu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] endelea kukomaaHapa naona automatic inataka kutokea,ngoja nikomae zaidi.
Itakuwa automatic au siyo arawa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] endelea kukomaa
haiwezi kuwaItakuwa automatic au siyo arawa?