MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,481
- 8,582
Nimejifunza na kuamini wanaume tuna true love kuliko wanawake, our love is for real, sema hatukutani na wale wenye real love like us ndo maana tunaamua tuwe pasua kichwa..
Nina imani tukiamua kumpa mwanamke real love kama tunazozipa timu zetu za mpira ingekuwa balaa,
Kwa kuangalia baadhi ya picha za mashabiki wa Celtics jana at celtic park in Glasgow Scotland utagundua men love for real
1.. shabiki wa celtic akilia kwa uchungu baada ya kushuhudia team yake kufungwa n 3-0 na juventus jana, huyu shabiki aligoma kutoka kwa 30 minutes after a match hadi official wakaja kumtoa
Shabiki mwingine akiondoka kwa uchungu ndani ya celtic park jumamne usiku baada ya timu yake kufungwa,, uchungu kama huu unakuja kwenye real love tu, ni wanawake wachache duniani wanaopata bahati ya kumliza mwanamme kwa uchungu kama timu zao za mpira zinavyowaliza wakifungwa.... hapo alipokuwa anatoka ndani ya uwanja wao wa nyumbani celtic park aka paradise huku analia kwa uchungu baada ya kushuhudia team yake ikifungwa na juventus jana usiku kwenye champions league knock out stage game 1… uwanja wao wanauita paradise maana wanajisikia furaha sana wakiwa hapo na wameumia sana kushuhudia wakifungwa magoli hapo hapo nyumbani kwao na juventus..
JE HUU UPENDO KWA TEAM ZETU TUNGEWAPA WANAWAKE ZETU INGEKUAJE?
Nina imani tukiamua kumpa mwanamke real love kama tunazozipa timu zetu za mpira ingekuwa balaa,
Kwa kuangalia baadhi ya picha za mashabiki wa Celtics jana at celtic park in Glasgow Scotland utagundua men love for real
1.. shabiki wa celtic akilia kwa uchungu baada ya kushuhudia team yake kufungwa n 3-0 na juventus jana, huyu shabiki aligoma kutoka kwa 30 minutes after a match hadi official wakaja kumtoa
Shabiki mwingine akiondoka kwa uchungu ndani ya celtic park jumamne usiku baada ya timu yake kufungwa,, uchungu kama huu unakuja kwenye real love tu, ni wanawake wachache duniani wanaopata bahati ya kumliza mwanamme kwa uchungu kama timu zao za mpira zinavyowaliza wakifungwa.... hapo alipokuwa anatoka ndani ya uwanja wao wa nyumbani celtic park aka paradise huku analia kwa uchungu baada ya kushuhudia team yake ikifungwa na juventus jana usiku kwenye champions league knock out stage game 1… uwanja wao wanauita paradise maana wanajisikia furaha sana wakiwa hapo na wameumia sana kushuhudia wakifungwa magoli hapo hapo nyumbani kwao na juventus..
JE HUU UPENDO KWA TEAM ZETU TUNGEWAPA WANAWAKE ZETU INGEKUAJE?