Nathamilla
Member
- Dec 11, 2017
- 23
- 26
Kwann Mkuu mwenzio Ameomba au Lengo la kushare na sisi huu ujumbe ni nini?!Utanisamehe ndugu yangu emanuel198723 , sitaweza kukutumia kwenye whatsap.
Kwann Mkuu mwenzio Ameomba au Lengo la kushare na sisi huu ujumbe ni nini?!Utanisamehe ndugu yangu emanuel198723 , sitaweza kukutumia kwenye whatsap.
Hakika ndugu yangu Mgeni wa Jiji sisi wanaume ndiyo WATAWALA wa ndoa. Kwenye ndoa hakuna eti sijui "usawa", hakuna hiyo kitu. Kwenye ndoa kuna MTAWALA na watawaliwa; na mtawala ni MUME; yeye ndiyo KICHWA. Tuko pamoja ndugu.Naunga mkono hoja ndugu, mimi kama kichwa cha huyu mwanamama nasema familia yangu tutalitekeleza [emoji3]
Naomba hii kampeni iendelee mpaka wajue sasa ndoa ni nini.