Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,718
- 6,979
- Thread starter
- #21
Ni kweli kabisa kile kiungo hakiliwi kwa "amri" za kiaskari lakini mimi nauliza hivi, mtu anawezaje kukukatalia kuitumia mali yako mwenyewe? Kwanini uwe mtumwa kwenye mali yako? Kwanini unyenyekee mbele ya mali yako kama vile MBWA anavyonyenyekea amwonapo bwana wake ameshika bakuli la nyama?Kile 'kiungo" kina miiko yake ili ukifurahie. Hata kama ni chako kwa vile umeoa, hakiliwi kwa amri kama za askari.
Mimi sijasema umkamate mkeo kwa nguvu, lakini unapaswa kuanzia mwanzo wa mahusiano yenu ajue kwamba "kile kitu kitamu" ni mali yako na yeye hana AMRI ya kukuzuilia kuila mali yako mwenyewe. Hata MAANDIKO yanafundisha hivyo, "mke hana AMRI juu ya mwili wake mwenyewe, bali mwenye AMRI ni mume".