MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,882
Umeolewa wewe au sisi walevi hatuna nafasi
Ao wadangaji ao mwanamke anaetaka future naww haombi hela.
Ao wadangaji ao mwanamke anaetaka future naww haombi hela.
ache uzembe Dada lichune Hilo jishemeji hapo chini unalilazia damu kwa nini
Mlevi kaa mbaliUmeolewa wewe au sisi walevi hatuna nafasi
tatizo amjatuelewa mpaka leo ipo ivi ukiona unaombwa sana hela na mwanamke ujue akupendi kbs iyo ni kama tiketi ya kujiondoa mwenyew ila tunapopenda wala hatuombi ata senti mpaka tupewe wenyewe na maisha yanaenda fresh
Mlevi kaa mbali
Acha pombe basi mana harufu yake tuu mi inanichefua afu inamaliza pesa sana.Huo ni ukatili na unyanyasaji
Kwa hyo unanihakikishia nikiacha angalau ntapata kanafasi hata kama sio kweny moyo wako basi hata kwenye kabandama kako?Acha pombe basi mana harufu yake tuu mi inanichefua afu inamaliza pesa sana.
utakua driver wangu.Kwa hyo unanihakikishia nikiacha angalau ntapata kanafasi hata kama sio kweny moyo wako basi hata kwenye kabandama kako?
utakua driver wangu.
Kwani Kingsmann kashakupatia kibali cha kumsemea?
tatizo amjatuelewa mpaka leo ipo ivi ukiona unaombwa sana hela na mwanamke ujue akupendi kbs iyo ni kama tiketi ya kujiondoa mwenyew ila tunapopenda wala hatuombi ata senti mpaka tupewe wenyewe na maisha yanaenda fresh
Hao wadangaji, Oa mwanamke anaetaka future nawe haombi hela.
Tayari mkuu hawawezi kutuelewa kamweekunywa pepsi mahali ulipo aisee tatizo hawajui kabisa
Kwani Kingsmann kashakupatia kibali cha kumsemea?
Bila shaka mmiliki wako(Kingsmann) ndiye apaswaye kuthibitisha hilo...