The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kuna watu unakuta wanasisitiza wenzao kuoa, ukiwauliza faida za kuoa mojawapo utaambiwa una uhakika permanent wa K kila siku. Wanadai kua kama hujaoa ukihitaji K inabidi uinunue kwa wadangaji au vinginevyo ila kwa mke wako unapata tu bure.
Ni hivi, wote, umeoa au hujaoa K siku zote tunazilipia au kuzigharamia. Mwanamke anaekubali kuolewa na kua anakupa K kila siku na wewe ni baada ya wewe kua utatimiza mahitaji yake ya kila siku maisha yake yote, kama huo uwezo huna hakuna mwanamke anakubali kuja kuishi na wewe ule tu bure K yake.
Mlioa oa mmesaini mkataba wa kua na short term and long term liability, hilo ni deni maisha yako yote, sisi ambao hatujaoa tuna short term liability.
Hoja yangu ni kwamba, wanaume mliooa msijifariji kua mnakula K bure, ile kodi ya mezani mnayoacha kila siku ndio gharama yenyewe na kupata hiyo K, kama huachi kodi ya meza hakuna K. Kwa mwanamke yoyote K inatolewa baada ya yeye kuridhika na wewe kua utaigharamia, utalipa gharama zinazotokana na wewe kupewa K.
Hivyo kwa wnaaume, we all buy sex, whether married or single.
Ni hivi, wote, umeoa au hujaoa K siku zote tunazilipia au kuzigharamia. Mwanamke anaekubali kuolewa na kua anakupa K kila siku na wewe ni baada ya wewe kua utatimiza mahitaji yake ya kila siku maisha yake yote, kama huo uwezo huna hakuna mwanamke anakubali kuja kuishi na wewe ule tu bure K yake.
Mlioa oa mmesaini mkataba wa kua na short term and long term liability, hilo ni deni maisha yako yote, sisi ambao hatujaoa tuna short term liability.
Hoja yangu ni kwamba, wanaume mliooa msijifariji kua mnakula K bure, ile kodi ya mezani mnayoacha kila siku ndio gharama yenyewe na kupata hiyo K, kama huachi kodi ya meza hakuna K. Kwa mwanamke yoyote K inatolewa baada ya yeye kuridhika na wewe kua utaigharamia, utalipa gharama zinazotokana na wewe kupewa K.
Hivyo kwa wnaaume, we all buy sex, whether married or single.