Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Kweli
so inakuwa siri na wewe au wewe na mimi. hapo ndio nilishindwa kukusoma vzrSi yule umemwambia akwambie we tu na hautamwambia mtu
Niko na wangu kibamia sijatendwa nayaona kwa wenzangu hayoWaliitendwa utawajua wana mbinu za vijembe
Teh teh tehNiko na wangu kibamia sijatendwa nayaona kwa wenzangu hayo
Basi shost tuyaache maana hata mi nshasahauso inakuwa siri na wewe au wewe na mimi. hapo ndio nilishindwa kukusoma vzr
teh teh
nisamehe tu ila nieleweshe tu
hahahahahahah sawa bibieeeBasi shost tuyaache maana hata mi nshasahau
hahahahahahah sawa bibieee
duhhh nimecheka kwa nguvu
Sema tu umenasa kwa mzee mstaafu na pesa za msimu unamuona anafaa,ngoja zimuishie kwa kununua Rav4 na viwanja viwili.utatufata tu tenaNimegundua wanaume wenye sura ya kawaida na uvaaji wa stara kama vile suruali na mkanda na Tai wanapenda kweli na wana maamuzi ya kiume ni wa kweli hawana longolongo.
Tofauti na hawa tunaoshea nao vipodozi ni shiida kwa kweli huyu hata akija adui anaweza kujificha hata uvunguni.