Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Kuna wanaume wa Dar na wale wa Mikoani.
Je hawa wa Zenji wanaangukia kundi gani?Je wao ni wa Dar au mikoani?
Wanaume wa Zanzibar ni mahiri kwa kula urojo, ila wanaoa wake wengi sana na wanazaa watoto wengi sana, sifa ambayo wa Dar na wale wa mikoani hamnayo.
Je hawa wa Zenji wanaangukia kundi gani?Je wao ni wa Dar au mikoani?
Wanaume wa Zanzibar ni mahiri kwa kula urojo, ila wanaoa wake wengi sana na wanazaa watoto wengi sana, sifa ambayo wa Dar na wale wa mikoani hamnayo.