Jackson matthew
Senior Member
- Jun 26, 2026
- 156
- 342
- Thread starter
- #41
Mtoto wa kike ameumbiwa apate vitu vilain ila mtoto wa kiume anaishi kama jebalSema wewe Baba
Mtoto wa kike ameumbiwa apate vitu vilain ila mtoto wa kiume anaishi kama jebalSema wewe Baba
Hata mimi nafanya kama water therapy.... ni nzuri sana kwa afyaKwanza mimi sinywi chai asubuh nakunywa maj naenda kazin
Kabisa kabisaMtoto wa kike ameumbiwa apate vitu vilain ila mtoto wa kiume anaishi kama jebal
Inasikitisha... sana mwanaume kuwa na kitambi.... hata Isaya anawapa onyo kwenye maandiko matakatifu...Eeeh! Mwanaume kwanza hutakiwi kula, mambo ya kula ni ya wanawake na wamama
Mafuta ya kula.... umenena vyema mkuu¡Mwanaume Unaogeaje Sabuni za dove,Family,Imperial Unataka uwe na ngozi nyororo ili iweje ?Mwanaume unatakiwa uogee gwanji ukikosa ogea StealWire ,kujipaka jipake mafuta ya kula ukikosa paka Jumbo.
Huwa wanakusimulia au unawafuatilia?Mwanaume hataki ndevu kila saa nikunyoa.wanaume wa saiv wanakimbizana na mambo ya kike hatasiwaelewi.mara wale chipsi ilhal mwanaume anafaa ale ugal wa maharage ama ale mhogo na maji.
Unajuwa donut huwa wazi muda wote?Wasiwasi ni mkubwa sana dhidi yako🤔
View attachment 3637089
Lazima tuwekeze mzee so mwanaume lazima uweke mkeka mradi twende iyo ni mbaya ndugu languWapi inatakiwa ata mkeka asiweke ni twende 😂🤣