Psalm 103
JF-Expert Member
- Jul 5, 2026
- 1,657
- 2,700
Eh......Ooh! Uanaume ni kulala makaburini, inakuwaje mtoto wa kiume unalala ndani banaaa
Eh......Ooh! Uanaume ni kulala makaburini, inakuwaje mtoto wa kiume unalala ndani banaaa
Mtoto wa kiume hatakiwa hata kuoga kwanza, wa kiume ujiviringisha kwenye michangaz unajitikisa kama mbwa dume unasepaEh......
Maneno ya kwenye.... kanga sasa¡¡ haya. wewe una mda gani hujaoga?Mtoto wa kiume hatakiwa hata kuoga kwanza
Wanaume "wa saiv" kiswahili cha wapi hiki......Nakushauri kwanza ungedeal na tatizo lako la uandishi kabla ya kuamua kushughulika na ndevu za watu wengine.
Duuu 😁🤣🤣 ngoja nioneMtoto wa kiume hatakiwa hata kuoga kwanza, wa kiume ujiviringisha kwenye michangaz unajitikisa kama mbwa jike unasepa
Mwanaume unalalaje kwenye godoro?.Mtoto wa kiume hatakiwa hata kuoga kwanza, wa kiume ujiviringisha kwenye michangaz unajitikisa kama mbwa jike unasepa
Wapi inatakiwa ata mkeka asiweke ni twende 😂🤣Mwanaume unalalaje kwenye godoro?.
Mwanaume anatakiwa atandike mkeka chini na shuka ni ngumi yako.
Sema wewe BabaMwanaume hataki ndevu kila saa nikunyoa.wanaume wa saiv wanakimbizana na mambo ya kike hatasiwaelewi.mara wale chipsi ilhal mwanaume anafaa ale ugal wa maharage ama ale mhogo na maji.
nimesahahu mala ya mwisho liniManeno ya kwenye.... kanga sasa¡¡ haya. wewe una mda gani hujaoga?
Mwanaume anaanzisha hila kwa wauname wenzake.!Mungu..... nifundishe kunyamaza ili nishuhudie mengi zaidi ya hapa...🤭