Kessy Wa Kilimanjaro
JF-Expert Member
- Jan 23, 2016
- 327
- 209
Hehehe
Wenzio hawajui hilo....kule ni kazi kazi kazi dadek another hour another dollar. U dnt get paid on ur breaks unless ni holiday tip.
Mi nilikuja kuchoka kabisa nlivyoona ulaya mtu ana MSc au Degree ma chuo anapiga kazi ya u store keeper, wengine wanatunza na wazee. Mbele ur degree at tyms aint shit unless kama ni science subjects ndio utapiga hela cz wako wachache.
Nilishangaa sanaa mtu bank teller au receptionist ana make hela mbuzi kuliko mtu wa cleaning, mbeba taka taka, care jobs (kutunza wazee) au store keeper. Life can be really funny there fam. Tehe
Ndo zako eeChaputa inakuhusu.
Umenichekesha sana...eti "Nyani Ngabu yaani unaondoka hivihivi bila kuonana na mimi,haya bwana,sawa".
USA USA tu kila mtu anatamani kuwa hapa nchi ya ahadi. Nchi ya maziwa na asali. Wabongo wanajidai kudiss ila mioyo yao inajua wapi wanapenda waende.
Ha-ha watakuja hapa kutokwa povu bdae wanauliza jinsi ya kupata visa ili waingie nchi ya ahadi.Achana na wala vumbi faza. Bongo zao zimejaa vumbi tu they can't think straight.
Wana diss USA huku wanapenda vitu vyake. Wanafuatikia kila nyendo za Kim K.
Wanampenda Obama na familia yake (usikute hao ndo nyumbu waliokimbizana kwenda kumwona siku ike kaja bongo).
Wanamwona Michelle Obama mrembo ilhali ni mwanamke wa kawaida sana...actually below average kwenyeurembo. Yaani sio head turner kabisa.....
Mengi yajiriyo USA wenzio wanayajua....juzi tu hapa nimekuta videmu flani vya Uswazi (ila vyenyewe vinajiona vya kishua) pande za Mabatini vina dab eti.....halafu hata havijui vilikuwa vinafanya nini. Vyenyewe vimeona tu kwenye YouTube vikaanza kuiga.
Talk about Monkey See Monkey Do teh teh teh teh.....
USA baby
View attachment 357546
Boss hii picha ni Georgia?Achana na wala vumbi faza. Bongo zao zimejaa vumbi tu they can't think straight.
Wana diss USA huku wanapenda vitu vyake. Wanafuatilia kila nyendo za Kim K.
Wanampenda Obama na familia yake (usikute hao ndo nyumbu waliokimbizana kwenda kumwona siku ile kaja bongo).
Wanamwona Michelle Obama mrembo ilhali ni mwanamke wa kawaida sana...actually below average kwenyeurembo. Yaani sio head turner kabisa.....
Mengi yajiriyo USA wenzio wanayajua....juzi tu hapa nimekuta videmu flani vya Uswazi (ila vyenyewe vinajiona vya kishua) pande za Mabatini vina dab eti.....halafu hata havijui vilikuwa vinafanya nini. Vyenyewe vimeona tu kwenye YouTube vikaanza kuiga.
Talk about Monkey See Monkey Do teh teh teh teh.....
USA baby
View attachment 357546
Mi nakubali marekani ndio ulimwengu wa kwanza...sisi tupo ulimwengu wa tatu...hata hivyo wanatuonea huruma tu.Tupo ulimwengu wa 6Hapo ndo ujue watu wananikubali kimya kimya.
Na kuna wengi tu ambao hujifunza mengi sana toka kwangu humu.
USA ma nigga!
View attachment 357541
Duh kwahio ndio ulikuwa unaingia shopping hapo kununua GIORGIO ARMANI,VERSACE ??Hapo ndo ujue watu wananikubali kimya kimya.
Na kuna wengi tu ambao hujifunza mengi sana toka kwangu humu.
USA ma nigga!
View attachment 357541
Duh kwahio ndio ulikuwa unaingia shopping hapo kununua GIORGIO ARMANI,VERSACE ??
Sio mbaya nikiona....btw hio ni gari gani unaendesha?Versace....nikuonyeshe nilichonunua?
Duh kwahio ndio ulikuwa unaingia shopping hapo kununua GIORGIO ARMANI,VERSACE ??
Sio mbaya nikiona....btw hio ni gari gani unaendesha?
Sio mbaya nikiona....btw hio ni gari gani unaendesha?
hahahahahah ko nkienda uSa nkirudi tz ni full kutafuna totoz tu au sio