Wanaume wa maofisini tuhurumieni jaman...

Wanaume wa maofisini tuhurumieni jaman...

Mambembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
2,217
Reaction score
2,971
Habarini za asubuh....

Hivi jaman kwann hawa kaka zetu huku maofisini wanapenda kutuharibia mood asubuh asubuh jaman???

Hivi siku hizi wanaume boxer hamvai au??manake mtu asubuh mbele kumetuna kama umejaza furushi la magimbi huko kwenye suruali mpka unaiona kabisa inataka kuchanika inakuwaje jaman???

Yaan especially kwenye hivi vikao vya asubuh mtu hata haogopi kusimama kuchangia mada wakati limashine lake limeshika minara yote yaani kitu 4G inakuwake jamani mnatutesa wenzenu tunashindwa hata ku concentrate kwenye kikao aaaagh haya ni mateso bila chuki au mnataka muonekane wanaume mashine????mnaboa

Ushauri
Kama una mke hebu jitahidini basi kuzipunguza kwenye morning glory kabla hamjaja ofisini manake mwishowe mtakuja baka hawa cleaner

Na pia kama unaonaa asubuh babu yako kutuliaa hawezi jitahidi mvae boxer za cotton kidogo zimshikilie huyo mzee na sio kutuachia mambo yote hadharani

And la mwisho jitahidi kuvaa nguo zinazo wakaa saawa jaman mibano ya nini kazini??mnatafutaa nn??sisi wanawake tubane nguo na nyie mbane mnatka kutuonyesha nini?????

Jamani eeeehe tusitiane dhambini kwa kutamani visivyo vyetu dini inakataza kutamani na macho yanaforce kuonaa sasa tunaomba mvae mabwangaaa


Mambembe the queen of all weather
Mambembe the unstoppable
 
Huyo atakuwa ni kivuruge tu. Pole sana mdada kwa kupata fadhaa
 
Habarini za asubuh....

Hivi jaman kwann hawa kaka zetu huku maofisini wanapenda kutuharibia mood asubuh asubuh jaman???

Hivi siku hizi wanaume boxer hamvai au??manake mtu asubuh mbele kumetuna kama umejaza furushi la magimbi huko kwenye suruali mpka unaiona kabisa inataka kuchanika inakuwaje jaman???

Yaan especially kwenye hivi vikao vya asubuh mtu hata haogopi kusimama kuchangia mada wakati limashine lake limeshika minara yote yaani kitu 4G inakuwake jamani mnatutesa wenzenu tunashindwa hata ku concentrate kwenye kikao aaaagh haya ni mateso bila chuki au mnataka muonekane wanaume mashine????mnaboa

Ushauri
Kama una mke hebu jitahidini basi kuzipunguza kwenye morning glory kabla hamjaja ofisini manake mwishowe mtakuja baka hawa cleaner

Na pia kama unaonaa asubuh babu yako kutuliaa hawezi jitahidi mvae boxer za cotton kidogo zimshikilie huyo mzee na sio kutuachia mambo yote hadharani

And la mwisho jitahidi kuvaa nguo zinazo wakaa saawa jaman mibano ya nini kazini??mnatafutaa nn??sisi wanawake tubane nguo na nyie mbane mnatka kutuonyesha nini?????

Jamani eeeehe tusitiane dhambini kwa kutamani visivyo vyetu dini inakataza kutamani na macho yanaforce kuonaa sasa tunaomba mvae mabwangaaa


Mambembe the queen of all weather
Mambembe the unstoppable
Ombeni nanyi mtapewa, Na muomba chumvi uombea chungu chake! Basi naishia hapo!
 
Mkome kutuita vibamia.
Ndio hivyo mwendo ni kusimamisha mtutu mpaka akili ziwakae sawa Na heshima irudi
Linawezaa kuwa kubwa na lisiwe na matumizi au hujui aaagh ilaa.bwana tupeni break vaeni kiutu uzima modo waachieni watoto
 
Wewe unaangalia uso wa mtu au kiuno?Nafikiri hukuliwa sawasawa usiku ndio maana una njaa.Siku zote aliyeshiba hatamani chakula.
Ww macho unayajuaa kweli?kazi zake unazijuaa??
 
Kuna ule msemo....mbwa ukimjua jina,hakusumbui wala hakushtui.
 
Back
Top Bottom