umetudhalilisha sana mkuu... sijui kama wewe ni me/ke lakini this is an utter disrespect and totally out of place... it could that you dont know what you are talking about, or you are not exposed to our culture, or probably you are gay... who sometimes separate themselves from men!!lizzy,
mijanaume ....oopphs sorry
wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
alime, apike, alee
yaani taabu tupu....
usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba............................
umetudhalilisha sana mkuu... sijui kama wewe ni me/ke lakini this is an utter disrespect and totally out of place... it could that you dont know what you are talking about, or you are not exposed to our culture, or probably you are gay... who sometimes separate themselves from men!!
You cant generalize things like that, and you can take any sample in Tanzania kujionea
Hakuna kitu kibaya kama kasumba....
My friend, naelewa nilichosoma....Janjaweed usiwe na hasira namna hiyo, hapo kaongelea wanaotoka kwenye makabila tofauti na sio waMassai pekee. Hata kwetu nimewaona hivyo ni jambo ambalo lipo.
My friend, naelewa nilichosoma....
Its like taking my personal experience na kuanza kusema wanawake ni wh0res, money mongers, sellers of their dignities and untrustworthy creatures.... hata kama ni personal experience au kabila langu si vyema kwani ni generalization
Anyway, nisiwaharibie mood... ngoja nirudi kule kwetu
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.
Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.
Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.
Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
Pili chakula anatafuta mama.
Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.
Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
Kukamua wao. . .
Kupika wao. . .
Malezi wao. . .
Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.
Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.
Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.
Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.
Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
Pili chakula anatafuta mama.
Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.
Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
Kukamua wao. . .
Kupika wao. . .
Malezi wao. . .
Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.
Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?
Lizzy, umewahi kuangalia The White Maasai? Mimi nimekaa na wamasai kwa miaka mitatu, nimefanya research sana, kwa
ile jamii mwanaume ni kila kitu! Kwao mwanamke ni 'property' kama alivyo ng'ombe au jembe. Anatumika kama chombo
cha uzalishaji. Kwa wale waliovijijini ambapo bado hawajapata kuchanganyika, hata tendo la ndoa kwao sio burudani
ila hufanyika mara chache pale ambapo baba anahitaji mtoto mwingine! Mara chache sana they will do that for pleasure.
Na mara chache sana mwanamke akafurahia tendo la ndoa maana kwanza amekeketwa, pili hakuna maandalizi na tatu
wanatumia miti shamba inayoongeaza ukubwa wa uume kiasi kwamba ukichukulia the two factors nlizotaja mwanamke
anaishia kuumia zaidi. Kumbuka kwamba kuoga kwa mmasai ni option. Katika maboma yao hakuna vyoo wala bafu.
Ile huduma kubwa hufanywa vichakani/porini na yapo mapori ya wanaume na wanawake. Kwa sasa wengi wameanza
kubadilika hasa kwa wale waliokaa maeneo ya mjini na kuchanganyana na watu!
unabahati haupo karibu maana mori yangu ishapanda..yaani wanaume wa kimasai sio wanaume??? wewe unafanya mchezo kabisa na makabila ya watu..
Huku ZNZ ni kinyume chake.