Jamani jamani vijana wa leo!!! Badilikeni,
Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka lol !!! ...
Wataibiwa na nani wakati umesema vijana sasa ni wote au baadh kama baadh sema kabisa
hahahahhha!! na huyu ndio the boss. ndio maana watu walikumiss humu.
King'asti bana umenifurahisha sana twen zetu shmbani tusijepigwa bakora bure na mdingi, hii kusogoa njiani hii....Labda na wewe unahitaji kubadilika. Ulishajaribu kupanda wewe afu uone kama anataka kushuka atashukia wapi?
ww ulimmiss?😛hoto:
Kama wewe ni wazamani jus know kuwa you worth much higher than these of umri wetu!Mweeh!
mie mwanamke wa zamani. Ningekuwa wa kileo aisee ningetamani kujionja, ila ngoja nianze na taulo lililoloa niridhishe imagination yangu.
Kama wewe ni wazamani jus know kuwa you worth much higher than these of umri wetu!
\tena afadhali ukute kademu kabaya kiasi kanaweza kakawa hata katamu ila hawa wanaojiita wazuri,warembo sijui wanapataga sperms gani zinazowaharibia maeneo yao hivyo na ukichanganya na kumpatia kila mwenye uwezo wa kuhudumia mgodi basi ndo fulu kuchoka inside, no taste!
can you imagine kwamba sasa hivi mwanamke ambaye hajaolewa au anayejiita free agent ana commit adultery mara nyingi kuliko wenye ndoa? you know why?
basi ndo wauchune kuliko kuja na kelele zisizo na maana!i wont know why sugarboy!
nina mambo mengi ya kunitia mawazo kuliko kuwawaza hao. pole zao, sie tulifundishwa jinsi ya kucontrol kila kitu na kila khali. acha wadada wajienjoy bwana wee, kama wahudumia migodi wapo
Jamani jamani vijana wa leo!!! Badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger,
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki., maharage....matunda nk.....mjenge afya zenu...
Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikiniii jamani ni afya....
Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka lol !!! Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani...
Kwa msisitizo waambie wale pia ugali wa muhogo au mtama au mahindi ambayo hayajakobolewa. Kwa anayehitaji unga wa muhogo ninao. Atoe order hapa hapa. Tuwasaidie hawa vijana wetu aisee maana hali imekuwa mbaya!!
hahahahahaa na sasa natumia kitu cha Sumbawanga kinaitwa MissMwampembe, natafuta mtu wa kutestia illuh please come zis way
Akisha anguka ndio mwisho wake, na ninashangaa hakuna anayemlinda Miss Wampembe!!! Nilikua huko last monthMkuu kumbe unamjua miss wampembe??!!! Nilipita huko wiki chache zilizopita karibu ataanguka sasa, sijui kwann watu wanakta sehemu ile ile wakati mti wenyewe ni mkubwa kabisa.
ni wa binafsi, maisha mazuri wapewe wao, kuongwa wao, kuridhishwa kimapenzi wao, kutetemekewa wao,kulala wabembelezwe kwanza wao walale, kwenye raha lady is first!
kuchapiwa iwe sisi, kuhangaiaka na maisha kwa ajili yao iwe sisi, madeni na bill zote sisi, kwenye hatari tuwe wa kwanza kujitoa sadaka kwa ajili yao!
what in hell do they gives us in return? f**** dem all!
Labda na wewe unahitaji kubadilika. Ulishajaribu kupanda wewe afu uone kama anataka kushuka atashukia wapi?