Wanaume wa kihaya......

Wanaume wa kihaya......

Nahisi ushauri wa kuombwa ulipaswa kuwa ni jinsi gani unaweza kuepuka uharibifu wa ndoa za watu na tamaa. Ni dhahiri umekaa kimaslahi zaidi. Uko radhi kuweka rehani utu wako sababu ya mali. Umeua viumbe visivyokuwa na hatia kwa kutoa mimba kwa vile umejiwekea kuwa uzazi wako ni mtaji wa kuvunia mali. Hapa si wahaya tu, kabila lolote utakalolipata mzunguko wa maisha yako utakuwa ni ule ule kuahidiwa mali, kulalwa then kuachwa kwenye mataa.
Jaribu kutuliza nafsi yako na upende kidhati pasi kuangalia ahadi unazopewa. Nina yakini kuna uwezekano ukaja kupata furaha ya kweli. Kumbuka mtoto si mtaji wa kuvuna matakwa yako, kesho akiwa mtu mzima atahitaji kujua kwanini haupo na baba yake na sidhani kama viwanja na nyumba vitakuwa ni faraja kwake. Jiulize kwanini wote hawatangazi ndoa bali wanataka kuzaa na wewe tu, Hapo moja kwa moja ujue kuna dosari kwako.
 
Ndege wafanano huruka pamoja ila chunga sana uo umalaya muda ni yuda na ukikusaliti utavuta maunga.
 
Katika Safari yangu ya mapenzi/mahusiano enzi hizo ,sifa nyingine ya wanaume nilowahi kutoka nao kimapenzi ni wahaya.Niliwahi toka na wahaya watatu kwa nyakati tofauti hadi nikahisi nina mkosi na wahaya.Sijawah ishi Kanda ya ziwa wote nimekutana nao mjini dsm.

Mhaya wa kwanza;huyu alikuwa anamalizia kozi yake chuo kikuu mwaka wa mwisho ila alinidanganya ashamaliza.alikuwa anakuja anakula kwangu ama anaweza kwambia nina hamu na ndizi nyama na hapo hajatoa hata mia yake,nikirudi nikute chakula tayari.naenda gengeni nanunua mahitaj napika chakula,akija anakula na kusaza na kujitawanya sebuleni kama kwake.halafu alikuwa mchoyo na mbinafsi sana sijawah kutana na mwanaume mchoyo na mwenye umimi Kama yule.

Alikuwa akikuta perfume nzuri kwangu anachukua,vikombe ama sahani nzuri ananambia atanipa hela nikanunue vingine ila hakuwahi toa.akawa akitumia gari langu kwendea kwenye starehe na kuniomba/kuchukua hela zangu kwenye wallet akijidai atarejesha ila hakuwahi fanya hivyo.

mwisho akaniomba nimzalie mtoto tukajaliwa katoto ka kiume,alivyozaliwa tu akasema anaenda kwao kusalimia kumbe alikuwa anampeleka mwanamke kwao kumtambulisha.akagoma ndugu zake na wazazi wake wasijue ana mtoto nami hivyo mtoto yule hajulikani kwao hadi leo.alipofikia hapo nikavunja mahusiano nikampiga na marufuku kufika nilipopanga enzi hizo.

saivi mwanangu ana miaka minne akajileta eti nimpatie mtoto,nikakataa na kuhama nilipokuwa naishi.akampa namba yangu mama yake nikamblock na kubadil namba.nafurahia zawadi ya kitoto cha kiume alichoniachia na akikuwa ntamwambia babake alishakufa tangu akiwa mimba.

Mhaya wa pili;huyu nilikutana naye kazini,akaonyesha mapenzi kwelikweli nami,uzuri hakuwa bahili wala mchoyo kama wa mwanzo ingawa alinificha kuwa kaoa.siku mmoja nikampigia simu usiku akapokea mwanamke nikakata.baadae nikajagundua ni mkewe.basi nikajitoa kimyakimya,ila akaniomba nisimwache tuendelee kwa siri basi nikakubal ila nikadhamiria moyoni kumchuna kwelikweli.alinipatia plot 3 na hadi documents zimeandikwa majina yangu.maprnz yaliponoga mkewe akagundua tena,tukaamua kuachana kistaarabu iliposhindikana akaja akashtak ofisin kwetu mumewe akahamishiwa mkoa mmoja hivi kanda ya ziwa na ukawa mwisho wa mahusiano yale ya wizi.huyu namkumbuka hadi leo maana alikuwa mtoaji sana na mstaarabu kwelikweli.

Mhaya wa tatu:huyu aliletwa baada ya yule kuhamishwa ofisini kwetu.naye aliponiona tu akaanza nitongoza,nikamweleza kweli kuwa am a single mom naye akajieleza kuwa ana mke na watoto wawili wote wa kike,anatamani baby boy hila mkewe hawezi zaa tena.Akaniomba naye nimzalie baby boy kwa ahadi atanijengea nyumba.kwakuwa nilishazalishwa na lijitu halafu likatokomea sikutaka rudia kosa nikamwambia anijengee kwanza anipe na documents halafu suala la kumzalia liendelee akasita akihisi nitamtapel.basi nimeendelea naye kwani naye si bahili,mkarimu,anajali,mstaarabu.Hila nimetoa mimba zake mbili bila yeye kujua kwani ahadi ya nyumba bado na singependa kurudia makosa.

Dhumuni la uzi mdau anaomba ushauri afanyeje aweze kuvunja hii circle ya kutongozwa ama kudate na wahaya.yeye kabila lake ni mchanganyiko wa mama kutoka mbeya na baba mwera wa mtwara.
Ningeweka neno hapa ila nakutakia Uzao mwema na pia umpate mume wako ukae utulie.
Hayo mengine mtatafuta pamoja.
 
1. Kati ya hao watatu ni yupi alimsababisha kulowanisha godoro zaidi kuliko wengine?

2. Niunganishe naye mimi nimchukuwe tuyajenge. Nina mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 6.
Katika Safari yangu ya mapenzi/mahusiano enzi hizo ,sifa nyingine ya wanaume nilowahi kutoka nao kimapenzi ni wahaya.Niliwahi toka na wahaya watatu kwa nyakati tofauti hadi nikahisi nina mkosi na wahaya.Sijawah ishi Kanda ya ziwa wote nimekutana nao mjini dsm.

Mhaya wa kwanza;huyu alikuwa anamalizia kozi yake chuo kikuu mwaka wa mwisho ila alinidanganya ashamaliza.alikuwa anakuja anakula kwangu ama anaweza kwambia nina hamu na ndizi nyama na hapo hajatoa hata mia yake,nikirudi nikute chakula tayari.naenda gengeni nanunua mahitaj napika chakula,akija anakula na kusaza na kujitawanya sebuleni kama kwake.halafu alikuwa mchoyo na mbinafsi sana sijawah kutana na mwanaume mchoyo na mwenye umimi Kama yule.

Alikuwa akikuta perfume nzuri kwangu anachukua,vikombe ama sahani nzuri ananambia atanipa hela nikanunue vingine ila hakuwahi toa.akawa akitumia gari langu kwendea kwenye starehe na kuniomba/kuchukua hela zangu kwenye wallet akijidai atarejesha ila hakuwahi fanya hivyo.

mwisho akaniomba nimzalie mtoto tukajaliwa katoto ka kiume,alivyozaliwa tu akasema anaenda kwao kusalimia kumbe alikuwa anampeleka mwanamke kwao kumtambulisha.akagoma ndugu zake na wazazi wake wasijue ana mtoto nami hivyo mtoto yule hajulikani kwao hadi leo.alipofikia hapo nikavunja mahusiano nikampiga na marufuku kufika nilipopanga enzi hizo.

saivi mwanangu ana miaka minne akajileta eti nimpatie mtoto,nikakataa na kuhama nilipokuwa naishi.akampa namba yangu mama yake nikamblock na kubadil namba.nafurahia zawadi ya kitoto cha kiume alichoniachia na akikuwa ntamwambia babake alishakufa tangu akiwa mimba.

Mhaya wa pili;huyu nilikutana naye kazini,akaonyesha mapenzi kwelikweli nami,uzuri hakuwa bahili wala mchoyo kama wa mwanzo ingawa alinificha kuwa kaoa.siku mmoja nikampigia simu usiku akapokea mwanamke nikakata.baadae nikajagundua ni mkewe.basi nikajitoa kimyakimya,ila akaniomba nisimwache tuendelee kwa siri basi nikakubal ila nikadhamiria moyoni kumchuna kwelikweli.alinipatia plot 3 na hadi documents zimeandikwa majina yangu.maprnz yaliponoga mkewe akagundua tena,tukaamua kuachana kistaarabu iliposhindikana akaja akashtak ofisin kwetu mumewe akahamishiwa mkoa mmoja hivi kanda ya ziwa na ukawa mwisho wa mahusiano yale ya wizi.huyu namkumbuka hadi leo maana alikuwa mtoaji sana na mstaarabu kwelikweli.

Mhaya wa tatu:huyu aliletwa baada ya yule kuhamishwa ofisini kwetu.naye aliponiona tu akaanza nitongoza,nikamweleza kweli kuwa am a single mom naye akajieleza kuwa ana mke na watoto wawili wote wa kike,anatamani baby boy hila mkewe hawezi zaa tena.Akaniomba naye nimzalie baby boy kwa ahadi atanijengea nyumba.kwakuwa nilishazalishwa na lijitu halafu likatokomea sikutaka rudia kosa nikamwambia anijengee kwanza anipe na documents halafu suala la kumzalia liendelee akasita akihisi nitamtapel.basi nimeendelea naye kwani naye si bahili,mkarimu,anajali,mstaarabu.Hila nimetoa mimba zake mbili bila yeye kujua kwani ahadi ya nyumba bado na singependa kurudia makosa.

Dhumuni la uzi mdau anaomba ushauri afanyeje aweze kuvunja hii circle ya kutongozwa ama kudate na wahaya.yeye kabila lake ni mchanganyiko wa mama kutoka mbeya na baba mwera wa mtwara.
 
Muhaya wanne nakuja ......me hata sielewi unatuchukia nin akati tunasifika kwa kujali....uyo wa kwanza hakuwa na hela ndio maana ila sis wanawake tukiwa nao kwa mahusiano tunawajali sana na tunajua kutafuta
 
1. Kati ya hao watatu ni yupi alimsababisha kulowanisha godoro zaidi kuliko wengine?

2. Niunganishe naye mimi nimchukuwe tuyajenge. Nina mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 6.
Oina amaizi, nakwenda kaisiki! Nyegera
 
Back
Top Bottom