Swahib Sinjo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 322
- 315
haya bwana ila hayo ni mavazi tu ila ukakamavu unaoongelewa ushaujua basi tu umeamua kupinga tu......!!!Ila pamoja na ulegelege wetu ndo tunawafundisha ujanja na ukakamavu, mkija na mamisuli yenu, tunawaingiza mjin, mnalia wiki nzima afu tunawakopesha nauli ya kurud kijijin kwen.