Wanawake wa siku hizi wana mambo alafu kuna mwehu mwenzangu anawaza kumuweka mwanamke kama uyu ndani nawaza watoto wanaenda kupata malezi gani teheeee teheee tuliambiwa tuishi nao kwa akili hawa viumbe ila wa siku hizi inahitajika zaidi ya akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.