cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kama hamtajitahidi kutengeneza pesa vizuri ujanani ili uzeeni uishi vizuri
Wewe nisomeshee wanangu wakipata kazi mikoani mimi ni kuzurura tu huko kwa wanangu najua wewe huwezi kwenda kuishi kwa wanao, wewe huku kwako unapambana na hali yako.
Ndio maana mnawahi kufa.
Wewe nisomeshee wanangu wakipata kazi mikoani mimi ni kuzurura tu huko kwa wanangu najua wewe huwezi kwenda kuishi kwa wanao, wewe huku kwako unapambana na hali yako.
Ndio maana mnawahi kufa.