Ndugu zangu, itakuwa ni jambo la busara kabisa kama kila mwanaume akawa na msimamo wa kutotongoza Msichana wa aina yeyote yule. Hii italeta heshima na Maendeleo kwa Kila mtu na Taifa kwa ujumla. Mgomo huu uwe wa mwaka mzima
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kabisa italeta heshima na Maendeleo
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums