kwani nyie hamjui kudanganya? mimi huwa nawapata kwa kuwapa matumaini tu basi. akisha ingia ndani ya mkoko wangu hatoki nakula bure anabaki na ahadi hewa nahamia kwa mwingineNaunga mkono
Raha wapate, na garama ziambatanazo wapewe. Sio issue.Dakika 15 gharama Laki. Upuuzi mtupu
Naunga mkono
Raha wapate, na garama ziambatanazo wapewe. Sio issue.Dakika 15 gharama Laki. Upuuzi mtupu
Hhahahaha mara nyingi kila baada ya game ndo huwa unagundua kuwa ni changa la macho. Mpunga huoooo halafu yeye ndo anajifanya full mzuka ohhh Baby utaendelea kunipenda au ulitaka kunichezea tu? Hahahah kukuchezea ww umekuwa mpira wa Obama
Ndugu zangu, itakuwa ni jambo la busara kabisa kama kila mwanaume akawa na msimamo wa kutotongoza Msichana wa aina yeyote yule. Hii italeta heshima na Maendeleo kwa Kila mtu na Taifa kwa ujumla. Mgomo huu uwe wa mwaka mzima
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ndugu zangu, itakuwa ni jambo la busara kabisa kama kila mwanaume akawa na msimamo wa kutotongoza Msichana wa aina yeyote yule. Hii italeta heshima na Maendeleo kwa Kila mtu na Taifa kwa ujumla. Mgomo huu uwe wa mwaka mzima
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Wanaume wakiacha kutongoza, kutakuwa hakuna mahusiano ya kimapenzi, ndoa hazitafungwa, watoto hawatazaliwa, baadaye taifa litakosa wafanyakazi, uchumi utapungua kwani wazee watazidi kuwa wengi wakati vijana wa kuwatunza watazidi kuwa wachache.
Uzalishaji utapungua.
Maendeleo ya taifa uliyoyataka hayatawezekana.
Mleta mada si unajuwa utamu wa k
Swala lako litakuwa gumu
labda wanawake wanaotongoza wataongezeka.
Mleta mada si unajuwa utamu wa k
Swala lako litakuwa gumu