Wanaume tuwe na huruma

Upuuzi wa fb unachafua hali ya hewa na mandhari ya JF
 
Mse........kweli we jamaa usirudie kuleta mambo ya kipumbavu kama hayo kwa watu wanaojielewa.
 
Ajitathmni sana maana akimuacha na akaoa mwingne atambue kabisa watoto wake atakaozaa dhambi hyo itakuwa juu yao...
Na tena hatokufa mpaka ashuhudie kizazi chake kikipitia ufirwaji kama alioufanya Kwa mtoto Wa mwenzake.. Karma
Hakuna kitu Kama hiki.

Kizazi cha Idd Amin kina shida gan? Cha Hitler??
 
Amuoe tu ,anataka kumuachia nani huyo mwanamke wake? Km hatak tn kupga huo mtandao awatafute wataalam wa afya wawashaur wt,waanze upya.
Lasvyo ht akioa mwanamke mwngn atamiss tu na atamuomba mkewe mpua hyo huduma.
 
Dah kuna watu wa aina yake.
"kwamba anamuonea kimya" yaan nimetukana matusi yote nilivyokuwa nasoma.
 
Aisee hiyo laana itakutafuna maisha yako yote. Jinsi pekee ni kumrudia Mungu uokoke akuponye. Shatani amekutumia vibaya na hata ukioa mwingine bado mambo yamekwishakukuharibikia. Pole sana.
 
We fala tu samahan lkn nina jazba
 
Sisadiki hii stori ila mambo kama hayo yapo na yanatokea,
Kama kweli alikuwa anatafuta sababu za kumuacha pale alipoomba tigo akakataliwa kisha baadae mwanamke akarudi kukubali kutoa tigo kwa mwenye nia kweli ya kuacha hii ndio angeifanya kama sababu ya yeye kumuacha kiroho safi,
Kwa pointi hii kumwambia huyo mwanamke"Nilikuwa na kupima kama kweli una msimamo ila kwa kukubali kwako kunipa tigo hapo umefeli na tunaachana maana hauna msimamo thabiti"
Ila sema huyu alifanya hili tendo hakuwa na nia thabit ya kumuacha alivyokubaliwa kupewa tigo na Ushetani ukamuingia kweli.
#Chunga shetani hajaribiwi#
 
Hapa shetani katulia anajifunza kitu na yeye
 
me nna huruma na wanawake hata sijuagi kwa nini uzuri nina bahati ya kupendwa wasichana niliowahi kuwa nao wengi walinipenda wao lakini kama mtu simtaki huwa namuambia tu

Siwezi kufanya ujinga kama huu kumbuka yule nae binadamu tusiish kama wanyama jamani
 
siwezi kumuoa huyu mwanamke kwani kweli ashaharibika na kama nikitaka kumuoa inamaana mimi mwenyewe sitaacha na kweli namuonea kinyaa.


Unasikitisha sana... na huna aibu wala haya kusema... na ameshaharibika...

Nani mwingine alIyemuharibu kama siyo wewe...



Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…