Wanaume tuwe na huruma

Mbona wadau wanamuandama huyo baharia?

Jamaa si kaandika kabisa alimuonesha binti dalili za kumuacha hadi akatunga uongo ya kwamba ana tabia za kufukua mitaro, lakini binti kaziba masikio pamba akajifanya naye anayataka...

Mambo mengine mabinti huwa wanajitakia wenyewe kwa sababu ya ukiherehere tu...

Mwana kutaka, mwana kupewa
 
Nimemtukana tusi kubwaaa Sana , nahisi litamfikia huko huko fb
 
Wakulaumiwa si mwanaume pekee hata mwanamke kwanini akubali mapenzi kinyume na maumbile kisa ndoa?
Wanawake ndoa zisitufanye watumwa na kutuondolea thamani yetu. Ona sasa anaachwa kwa upuuzi. Bora uwe single kuliko jikubali huo ushetani.
 
Kabisa
 
Dhamb lazima ikule
 
Aaah sasa nani atakae muoa huyo ukimuacha...
 
huyo dada na yeye hakuwa na akili hivi mtu unakubali mtu akufanyie kitendo cha kipumbavu namna hiyo??
Mapenzi mkuu...

Akili ikiongozwa na moyo na sometimes huleta maamuzi ya ajabu sana. Kama vile sisi tunapofikiri kwa kutumia kichwa cha chini ambacho hakina ubongo matokeo yake huwa tunaleta madhara kwenye jamii.
 
UMEITOA FB? NAOMBA USER NAME ANAYO TUMIA FB NIMSHUGULIKIE
 
Hhahaha
Alikataa kwa sababu ni mtu wa dini sana. Hivi ni dini gani hiyo ambayo haramu ni ngono kinyume na maumbile tu lakini uzinzi inaruhusu? Nataka nikajiunge na mimi niwe nabanjuka kwa raha zangu
 
Kweli mkuu, hata Mimi nimeisoma huku nimejawa hasira sana ya kumporomoshea matusi ila nikakumbuka ni uongo wanaodanganyana wavulana wa FB
Nilitaka kukupa bonge la tusi ila umeokolewa na neno "Kutoka FB"

Ungejidai tu kuwa mhusika mkuu uone cheche zetu.
 
dhambi kutafuna kilailiyo ncha na haisazi chochote
 
Kama mwanamke na akili zake kabisa aliamua bila kushurutishwa wala kubakwa, sioni huruma yoyote kwake. Alifanya maamuzi akiwa na akili timamu, huwezi kusema huyo kijana alimrubuni coz hakumpa kilevi chochote.

Ignorance na utandawazi vinatuumiza sana.
 
Imenisikitisha sana hata kama umeitoa fb huyo bint alifikir akitoa tigo ndio hataachwa
na huyo mwanaume amenikera kuliko kawaida yani kamfanya mwenzake vibaya tena yeye kwa hila zake leo anataka amkimbieee? hiyo dhambi itakuwa juu yake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…