Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,527
- 37,943
Teh 😆😆😆😆Ukiacha wewe na huyo mchumba wako mnaedanganyana, couple gani nyingine ambayo unauhakika hawataoana?
Nakuona devi
Karibu tule mafenesi..
Teh 😆😆😆😆Ukiacha wewe na huyo mchumba wako mnaedanganyana, couple gani nyingine ambayo unauhakika hawataoana?
Karibu tule mafenesi..
Aisee Mimi ni kauzu ila jamaa amezidi ukauzu duuh.Jamaa ana roho ngumu
Karibu tule mafenesi. Aisee Hhaha ila nimemkubali uwezi jua dem siku za nyuma alikuaje nayeye.Huyu Davie muuaji asee!! Yan dem kaongea meengi AF yeye anajibuje et?!!
Hujapenda bado. Mwenzio akinyolewa tia maji. Kuna mahali utakamatika tu mama anguAcha wee ,sifanyi huo ujinga
Ni upendo jamani!!lol!Kuna watu ni ving'ang'anizi hadi inakuwa kero aiseee
C.c. mama mchungaji
Hahaha mafenesi yanaongeza uzitoHuwa inachukua muda kiasi na gharama kiasi kumtongoza mtoto mzuri na kuja kufanikiwa kumuweka mikononi...
Mara nyingi tukishawaweka chini ya himaya zetu, tunawachukulia poa...hatuwapi tena attention ya kutosha..
Kumbuka ulipomtongoza, pengine alimuacha jamaa yake anayempenda akaja kwako, kisa ulikuwa na swaga za kishua na za kibabe.
Please men, tusiwe kama DAVIE hapa..
Hawa watoto wazuri nao wana mioyo ya nyama..
Machozi yao yatakuwa laana kwetu, halafu tutateseka..
Nawapenda sana wanawake..
View attachment 1177856
Karibu tule mafenesi
Kwanini umebase upande umoja wakati kila mtu anaumia ina mana kwamba huyo jamaa aliyeachwa na dem yeye haumii inaumiza sana dem akikuacha hauna kitu then akaenda kwa jamaa mweny hela ni bora uachwe na dem upo vizuri kimaishaHuwa inachukua muda kiasi na gharama kiasi kumtongoza mtoto mzuri na kuja kufanikiwa kumuweka mikononi...
Mara nyingi tukishawaweka chini ya himaya zetu, tunawachukulia poa...hatuwapi tena attention ya kutosha..
Kumbuka ulipomtongoza, pengine alimuacha jamaa yake anayempenda akaja kwako, kisa ulikuwa na swaga za kishua na za kibabe.
Please men, tusiwe kama DAVIE hapa..
Hawa watoto wazuri nao wana mioyo ya nyama..
Machozi yao yatakuwa laana kwetu, halafu tutateseka..
Nawapenda sana wanawake..
View attachment 1177856
Huyo atakuwa mgeni kwny mji huu wa mpenzi