Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 543
- 524
Ujue kwamba kwa kila mwanamke utaemtesa ndio miaka yako ya mateso katika mapenzi. kikuu watu hawako kamili. Pale unapumizwa samehe na endelea na maisah yako hamna kitachokusumbua.. ukiwa kila siku unaumizwa wewe tu basi wewe ndo una shida. usitese watoto wa watu adhabu yako ni mpaka kizazi na kizazi....ukipata mwanamke wa kumtesa mtese.maana ikifika zamu yako ni mateso makubwa