Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,341
Huwa inachukua muda kiasi na gharama kiasi kumtongoza mtoto mzuri na kuja kufanikiwa kumuweka mikononi...
Mara nyingi tukishawaweka chini ya himaya zetu, tunawachukulia poa...hatuwapi tena attention ya kutosha..
Kumbuka ulipomtongoza, pengine alimuacha jamaa yake anayempenda akaja kwako, kisa ulikuwa na swaga za kishua na za kibabe.
Please men, tusiwe kama DAVIE hapa..
Hawa watoto wazuri nao wana mioyo ya nyama..
Machozi yao yatakuwa laana kwetu, halafu tutateseka..
Nawapenda sana wanawake..
Mara nyingi tukishawaweka chini ya himaya zetu, tunawachukulia poa...hatuwapi tena attention ya kutosha..
Kumbuka ulipomtongoza, pengine alimuacha jamaa yake anayempenda akaja kwako, kisa ulikuwa na swaga za kishua na za kibabe.
Please men, tusiwe kama DAVIE hapa..
Hawa watoto wazuri nao wana mioyo ya nyama..
Machozi yao yatakuwa laana kwetu, halafu tutateseka..
Nawapenda sana wanawake..