ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Naamini mko sawa kimwili, kiakili na kiroho.
Naomba tushirikishane hii tafakari yangu, maana peke yangu siwezi. Hivi karibuni kumeibuka hali isiyopendeza sana ya vifo vya wanaume baada ya kukimbiwa na wenza wao, mfano Ivan na Hanad. Lakini pia wanawake kama Ex Mrs Mbasha, Ex wa boss Ruge kuwakimbia wenza wao.
Ilizoeleka wanaume wakiacha lakini si kuachwa. Maana hawa wanawake wameumbwa kuwa wasaidizi wa wanaume kwa mujibu wa biblia kitabu cha kwanza,sura ya kwanza Mungu akasema :"si vema mwanaume awe peke yake,nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye".
Je wanaume wameshindwa kusimama katika nafasi zao za kuongoza hali wakisaidiwa na wanawake, kiasi cha wanawake kuona hata bila wanaume hao hakuna tatizo? Zingatia single parent wa kike ni wengi na wanalea watoto bila shida kuliko idadi ya wasingle baba wanaolea watoto.
Wababa tumeshindwa?
Karbuni.
Naomba tushirikishane hii tafakari yangu, maana peke yangu siwezi. Hivi karibuni kumeibuka hali isiyopendeza sana ya vifo vya wanaume baada ya kukimbiwa na wenza wao, mfano Ivan na Hanad. Lakini pia wanawake kama Ex Mrs Mbasha, Ex wa boss Ruge kuwakimbia wenza wao.
Ilizoeleka wanaume wakiacha lakini si kuachwa. Maana hawa wanawake wameumbwa kuwa wasaidizi wa wanaume kwa mujibu wa biblia kitabu cha kwanza,sura ya kwanza Mungu akasema :"si vema mwanaume awe peke yake,nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye".
Je wanaume wameshindwa kusimama katika nafasi zao za kuongoza hali wakisaidiwa na wanawake, kiasi cha wanawake kuona hata bila wanaume hao hakuna tatizo? Zingatia single parent wa kike ni wengi na wanalea watoto bila shida kuliko idadi ya wasingle baba wanaolea watoto.
Wababa tumeshindwa?
Karbuni.