Wanaume tupeane darasa, hatua gani za kuchukua mkeo anapokupa uthibitisho kwamba unachepuka?

Wewe baki kimya atagomba weee wewe huku unacheza na mtoto au unajifanya unatengeneza bulb akimaliza atanyamaza.

Nawatahadharisha mabachelor wasitoe ushauri usije ukalikoroga.
hahaha ushauri murua kabisa huu, yani kimya tu na atakuelewa kuliko kuanza kubishana nae au kuleta ujanja wa kujitetea, kujitetea mkiwa kitandani tu kule baasi.
 
Kuna uwezekano asubuhi hii likazuka jambo kwangu.. maana naamka nakutabka-pop up cha side chick kanasema "pole na safari my".. na kama wife aliamka kumkojolesha mtoto usiku atakuwa kakaona.
 
Akikuganda we

Unamjibu da yaani umenivuruga nilikuwa napanga nikutoe out na tukafanye shopping

Harafu unakaaa kimya


Atagombaaa we kimyaaa baadae

Atajikoki tu
 
Ni marufuku kwa mwanaume kuonesha udhaifu kwa mwanamke esp kukubali kosa kirahisi ikiwezekana vimba kama paka alojeruhiwa. Mwambie asome bible kuhusu king Solomon etc
 
Daaah huu Uzi unanihusu ,wiki kama 3 nyuma nlifumaniwa msg za michepuko wangu,Mara 2 mfululizo,kiukweli nliomba samahani na nimeamua kuachana na michepuko yote ila umebaki mmoja ambao nimeudhibiti na nimemwambia mi nna mke ila anaishi mbali so akiwa ananitembelea aache kunitumia tumia msg hadi nianze kumtafuta mm kanielewa,ila Wife anadai eti hana imani na Mimi .

Kama hakuna trust hata love hupotea
 
Hivi kuna mwanaume gani atakubali kuwa mama yake au dada yake au binti yake awe mchepuko wa mtu mwingine?
Hawa mnaowaita michepuko ni binadamu wanahitaji maisha mazuri na mapenzi kama wanavyohitaji wake zetu, tuwe na fikra za kujenga jamii siyo kuleta mtafaruku kwa kuzielekeza akili zetu katika matamanio ya nafsi zetu. Ukimwi bado upo na unawakosesha watu raha ya maisha.
Fikiria, Jitambue na Uchukue hatua.
 
Hivi kuna mwanaume gani atakubali kuwa mama yake au dada yake au binti yake awe mchepuko wa mtu mwingine?
Hawa mnaowaita michepuko ni binadamu wanahitaji maisha mazuri na mapenzi kama wanavyohitaji wake zetu, tuwe na fikra za kujenga jamii siyo kuleta mtafaruku kwa kuzielekeza akili zetu katika matamanio ya nafsi zetu. Ukimwi bado upo na unawakosesha watu raha ya maisha.
Fikiria, Jitambue na Uchukue hatua.
Vumilia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom