Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,272
- 18,334
Wakuu habari za leo.
Kwakua wengi humu mmewahi kuchepuka na mnachepuka kwa sababu mbalimbali kama wake zenu kua mbali, wengine tamaa na wengine wanachepuka bila sababu.
Sasa tupeane shule hapa, imagine ndio umechepuka au umekua ukichepuka kwa sababu za mwizi ni arobaini ndo mkeo kakudaka pengine kupitia simu yako au amekudukua (tracking) na akapata evidences zote yaani evidences beyond doubts, sasa akaleta evidences kwako na ukaona kabisa anachozungumza ni kweli.
Nauliza Sasa kipi bora
1. kukubali kosa na kuomba samahani au
2. kubisha mwanzo mwisho ili uonekane hauhusiki na tuhuma?
Je,baada ya kukubali au kukataa utachukua hatua gani kuhusu huyo mchepuko wako?.
1. Utaachana nae(kusitisha uhusiano) au
2. Utaendelea nae kimya kimya kwa kificho?
3. Je ni mbinu gani utaziboresha ili next time usikamatwe(endapo utakua umeamua kuendelea na mchepuko wako kimya kimya kwa kificho)
Kipi ni bora eti wanaume wenzangu tushauriane maana hata uwe unajua mambo mengi ila bado hauwezi kujua kila kitu.
Ambao hamna ndoa pia mnakaribishwa.
Huu uzi sio uzi wa povu wakuu, ni uzi wa kawaida tu.
Kwakua wengi humu mmewahi kuchepuka na mnachepuka kwa sababu mbalimbali kama wake zenu kua mbali, wengine tamaa na wengine wanachepuka bila sababu.
Sasa tupeane shule hapa, imagine ndio umechepuka au umekua ukichepuka kwa sababu za mwizi ni arobaini ndo mkeo kakudaka pengine kupitia simu yako au amekudukua (tracking) na akapata evidences zote yaani evidences beyond doubts, sasa akaleta evidences kwako na ukaona kabisa anachozungumza ni kweli.
Nauliza Sasa kipi bora
1. kukubali kosa na kuomba samahani au
2. kubisha mwanzo mwisho ili uonekane hauhusiki na tuhuma?
Je,baada ya kukubali au kukataa utachukua hatua gani kuhusu huyo mchepuko wako?.
1. Utaachana nae(kusitisha uhusiano) au
2. Utaendelea nae kimya kimya kwa kificho?
3. Je ni mbinu gani utaziboresha ili next time usikamatwe(endapo utakua umeamua kuendelea na mchepuko wako kimya kimya kwa kificho)
Kipi ni bora eti wanaume wenzangu tushauriane maana hata uwe unajua mambo mengi ila bado hauwezi kujua kila kitu.
Ambao hamna ndoa pia mnakaribishwa.
Huu uzi sio uzi wa povu wakuu, ni uzi wa kawaida tu.