Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,976
- 42,210
- Thread starter
- #61
Hakuna kitu kama hicho kijijin kuna kuku wa kienyeji tu mkuu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho kijijin kuna kuku wa kienyeji tu mkuu wangu
Kwa sababu hujui faida yake utaita upuuzi,ngoja uachane na anayekulea,hapo ndo utaelewa tunachomanoshaHivi upuuzi kama huu ni wa kujisifia kabisa mbele ya kadamnasi.
Dogo nifuate inbox,kumbe ww ni mdau mwenzangu,kumbe ninapoteza muda kwenda kirumba,kumbe zinapatikana jirani
Saiv hata buku mbili warembo kinomaHuyu changu unapiga kwa buku mbili ni wale ma.la.ya wa kihaya uwanja wa fisi au mtaa wa Sudan temeke au ni wale wa Kimboka Buguruni?
Hapana hicho siyo kipimo cha kumfanya mtu aoe mke ambaye anatabia kama zake,ni mambo ya kawaida tu,pia inategemea na mtu unafanya kaz gani,kama wengine hawapati nafasi ya kutongoza wanawake ko ukitoka jobu kabla hujaenda nyumban unapita chimboNina imani utapata mwanamke mwenye tabia kama zako...mtu hupewa anachostahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji kondom,hata mnaowatongoza mjin ni walewale,huwez ukajua usiku anajishughulisha na nnDah bro umeisha pale ukimwi nje nje pole ugumu umekuponza
Sent from my iPhone using JamiiForums
Usimfariji mwenzio mkuu...kama ananunua Malaya..analala na kila mwanamke asubiri tu fungu lake... Mwanamke aliyetulia atapata mwanaume wa kufanana naye and vice versaHapana hicho siyo kipimo cha kumfanya mtu aoe mke ambaye anatabia kama zake,ni mambo ya kawaida tu,pia inategemea na mtu unafanya kaz gani,kama wengine hawapati nafasi ya kutongoza wanawake ko ukitoka jobu kabla hujaenda nyumban unapita chimbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifariji mm natoka kijijin na kuna wanawake wengi tu ambao hawajatuliaHakuna kitu kama hicho kijijin kuna kuku wa kienyeji tu mkuu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kirumba kufanya nini mbali kote huko broDogo nifuate inbox,kumbe ww ni mdau mwenzangu,kumbe ninapoteza muda kwenda kirumba,kumbe zinapatikana jirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie bro hajui kuwa hata mke wake anaweza kumletea ukimwiMtaji kondom,hata mnaowatongoza mjin ni walewale,huwez ukajua usiku anajishughulisha na nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kijijin vijiji vya tanga na pwani lakin siyo vijiji vya huku usukumanEndelea kujifariji mm natoka kijijin na kuna wanawake wengi tu ambao hawajatulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi wale police jamii hawajakunasa???Aman iwe juu yenu wakuu
Wanaume tunapigwa bila kujua sijui hatuna akili sijui kimbele mbele chetu
Jana nimepita pale Mabatini Mwanza nikapiga mchuchu kwa buku mbili tu nikasepa zangu, nikarud tena baada ya nusu saa nikapiga tena cha pili kwa buku tatu nikasepa
Hapo ndipo nilipogundua kuwa tunaibiwa sana ukiwa na dem wako maana utamununulilia mawigi Mara hela ya vocha na vitu vingine vingi tu
Tushituken jamani tunapigwa
Mimi sitapigwa tena
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipigwa na wewe piga!
Hii ni piga nukupige
Zaburi 53.1 MPUMBAVU AMESEMA MOYONI MWAKE HAKUNA MUNGU
Hiyo ndo shida ya kuokoka ukubwani mkuuMbona umemtaja Mungu kwenye mambo ya kishenzi.. ! Hivi unazijua vyema sheria au amri za Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app