Hapo ndo umuhimu wa wahenga unapotanabaika.....fimbo ya mbali...
Mzee anaangalia huduma zote anazostahili kupata kama mwanaume na babu mtarajiwa, zinapatikana kwa huyo mke wake wa sasa!
Anaanza kufikiria kama muajiriwa, security ya kazi( yeye sasa ni ya uzee wake, akiona upweke hauwezi hata nukta)
Kama ndio njia pekee ya kujipatia huduma zote za kijamii kama shule, malazi, chakula, afya n.k ni kutoka kwa baba, basi ni KUKUBALI kuwa HOUSEBOY kwa mama wa kambo kwa muda wote unaotaka kuweka sawa mambo yako.
Kinyume chake, utakuwa unapambana na mother nature.