- Thread starter
- #21
Kwa iyo kule kwenye posts za "NAOMBA USHAURI WA KISAIKOLOJIA JUU YA MAISHA YANGU" NA "I HAVE ACCOMPLISHED NOTHING" ulijivisha uhusika wa nani?
Wa Kwako Mkuu....
Kwa iyo kule kwenye posts za "NAOMBA USHAURI WA KISAIKOLOJIA JUU YA MAISHA YANGU" NA "I HAVE ACCOMPLISHED NOTHING" ulijivisha uhusika wa nani?
akinijibu hivyo mi najua pa kumbania tu
ngoja anijibu nitakwambia akishanijibu vibayaUtambania wapi?
Hivi inakuwaje, Mara zote kama sio nyingi, Mwanaume/wanaume tunapoongea na wapenzi wetu/wake zetu, huwa tunaongea kwa Hasira sana, Mpenzi akiuliza "Upo wapi? Mtu anajibu.. "Unataka niwe wapi? Yaani tunajibu kwa ghadhabu kweli kweli.
Sasa Ngoja "Mchepuko" Upige simu, hata kama swali ni la kizushi, Utajibu kwa Upole na kwa kubembeleza.. " Nipo Ofisini Mama, nikitoka nitapita kukucheki sweetie ".
Swali, ni kwa nini tuna behave like that? Kwanini wanaume tunakuwa wakali sana kwa wake zetu, na tunakuwa wapole sanaaa kwa Michepuko?
What's the secret behind such attitude?
Ni wewe tu unaye mjibu mkeo hvyo. And why unampa mchepuko wako nafasi hvyo???
Hivi inakuwaje, Mara
zote kama sio nyingi, Mwanaume/wanaume tunapoongea na wapenzi wetu/wake
zetu, huwa tunaongea kwa Hasira sana, Mpenzi akiuliza "Upo wapi? Mtu
anajibu.. "Unataka niwe wapi? Yaani tunajibu kwa ghadhabu kweli kweli.
Sasa Ngoja "Mchepuko" Upige simu, hata kama swali ni la kizushi, Utajibu
kwa Upole na kwa kubembeleza.. " Nipo Ofisini Mama, nikitoka nitapita
kukucheki sweetie ".
Swali, ni kwa nini tuna behave like that? Kwanini wanaume tunakuwa
wakali sana kwa wake zetu, na tunakuwa wapole sanaaa kwa Michepuko?
What's the secret behind such attitude?
Hata uliza ya mchepuko
ni tofauti na wake zetu ambao wanaamini wao ni kila kitu coz wana hati
miliki, mchepuko atauliza bby au sweet uko wapi baba, lakini wake zetu
utasikia we uko wapi mpaka muda huu au ndo uko kwa malaya zako!so na
nyie jaribuni kuwa na lugha laini.
Ukiwa mpole kwa mke wako andika "UMEEUMIA"
Nakubaliana na ww Mkuu, Leo kwenye dala dala jamaa alikuwa anamfokea kinoma mke wake, alienda kusalimia nyumbani kwa wazazi na watoto, sasa mke kampigia jamaa kumuomba warudi kesho... Ni Noma. Yaaaani, after kama 15mnts baada ya simu ya Mke wake jamaa...
Ikaingia simu nyingine, ambayo ni ya mpango wa kando.. Jamaa alikuwa anabembeleza mpaka ikabidi nimuulize, Mkeo ni yupi kati ya hao wawili uliongea nao... Hakujibu, akawa anacheka.
Nikajiuliza sana. Kwann kwa Mke tunakuwa wakorofi kiasi hiki na michepuko ina take advantage????
Hacha mfumo dume::
michepuko ina care ile mbayaaa mtoto anakubembeleza kama mtotooo