Hivi inakuwaje, Mara zote kama sio nyingi, Mwanaume/wanaume tunapoongea na wapenzi wetu/wake zetu, huwa tunaongea kwa Hasira sana, Mpenzi akiuliza "Upo wapi? Mtu anajibu.. "Unataka niwe wapi? Yaani tunajibu kwa ghadhabu kweli kweli.
Sasa Ngoja "Mchepuko" Upige simu, hata kama swali ni la kizushi, Utajibu kwa Upole na kwa kubembeleza.. " Nipo Ofisini Mama, nikitoka nitapita kukucheki sweetie ".
Swali, ni kwa nini tuna behave like that? Kwanini wanaume tunakuwa wakali sana kwa wake zetu, na tunakuwa wapole sanaaa kwa Michepuko?
What's the secret behind such attitude?
Sasa Ngoja "Mchepuko" Upige simu, hata kama swali ni la kizushi, Utajibu kwa Upole na kwa kubembeleza.. " Nipo Ofisini Mama, nikitoka nitapita kukucheki sweetie ".
Swali, ni kwa nini tuna behave like that? Kwanini wanaume tunakuwa wakali sana kwa wake zetu, na tunakuwa wapole sanaaa kwa Michepuko?
What's the secret behind such attitude?