Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,038
Ni hivi ili uwe mwanaume kamili ni kwamba hata ukipewa sekunde 5 zinatosha kabisa mnara wako kusimama na kusoma kasi ya 5G,hakuna kitu kinacholeta stress duniani kwa mwanaume Kama upo na mtoto mzuri on the bed kisha mnara unasoma E Mara unapotea kabisa! Ni jambo LA fedhea kubwa sana!tuepuke soda kwa wingi na kila aina za chakula kinachopelekea kupunguza mzunguko mzuri wa damu!
Nadhani sauti inatosha
Sent by Diaspora
Nadhani sauti inatosha
Sent by Diaspora