Wanaume tuheshimiane

Status
Not open for further replies.
Kuwa mshenga sio kazi ndogo. Kikinuka unaambiwa unaanzia kwa wasimamizi wa ndoa...kisha mshenga....then ndio wazazi.

Sasa mshenga inabidi anunue smartphone ili atumiwe screenashot za matusi ili akusanye ushahidi

Hahahhah...lol
 

Dada beba mwanao kama umeamua kuachana Na huyo mwanaume...unakaa kabisa unakula chakula kinashuka hujui mtoto wako amekula nini...anaumwa...amekumiss... Duuhh tunatofautiana roho!!

Kwa sasa siwezi kukaa nae, nipo masomoni ndio sababu kubwa ya kumwachia, anafahamu na hata ustawi wa jamii walimwambia mwakani mtoto lazima nimchukue, ivo kwa sasa sina tatizo na yeye kukaa nae, tatizo ni yeye kutumia matusi na jazba bila sababu.
 
Nadhani ni hasira tu lakini still you love the person, nakupa another year uje kutupa mrejesho hapa kama hajakuongezea mtoto wa pili huko huko ulipo. Mi watu walio vuana kyupi huwa sishauri ....tena for seven years mnavurumishana.... mmmh haya sie tupo yetu macho.
 
Hahahahahaj
Hayo magroup yote siyataki kasoro hilo la ma-admins.....mnipe u-invisible wa huko


 
Kwa sasa siwezi kukaa nae, nipo masomoni ndio sababu kubwa ya kumwachia, anafahamu na hata ustawi wa jamii walimwambia mwakani mtoto lazima nimchukue, ivo kwa sasa sina tatizo na yeye kukaa nae, tatizo ni yeye kutumia matusi na jazba bila sababu.

Mmhhh ngumu sana kumeza!!
 
Kwa sasa siwezi kukaa nae, nipo masomoni ndio sababu kubwa ya kumwachia, anafahamu na hata ustawi wa jamii walimwambia mwakani mtoto lazima nimchukue, ivo kwa sasa sina tatizo na yeye kukaa nae, tatizo ni yeye kutumia matusi na jazba bila sababu.


KWA HIYO SIO TATIZO KWA MTOTO WAKO WA KIKEE KUOSHWA SEHEMU ZAKE ZA SIRI NA MWANAUME? TENA MTU BAKI?

OOOOKAAAAAAY!! Basi atazidi tu kukutukana saana tuu.

Kama baba yako aliweza kumzuiaaikuoe basi asingeshindwa kumzuia kufanya fujo kama mtoto angekaa kwenu
SIO TATIZO KWA MTOTO WAKO KULALA NA KIJANA WA MIAKA 24?
 
Hayo matusi na jazba vipeleke polisi.
Sms si unazo???????
Mbona ni ushahidi wa kutosha?????



Kwa sasa siwezi kukaa nae, nipo masomoni ndio sababu kubwa ya kumwachia, anafahamu na hata ustawi wa jamii walimwambia mwakani mtoto lazima nimchukue, ivo kwa sasa sina tatizo na yeye kukaa nae, tatizo ni yeye kutumia matusi na jazba bila sababu.
 
Hahahahahaj
Hayo magroup yote siyataki kasoro hilo la ma-admins.....mnipe u-invisible wa huko

Hilo tu? Inabidi tukuchunguze kwanza kama wewe ni liability, au asset. Meanwhile, itisha mkutano na waandishi wa habari na ujibu tuhuma zote walizonazo juu yako na za utendaji wako kwa ujumla.
 
Nimependa huu msemo: "Act like you trust people, but don't"
 


Maneno mazito aya, yameniuma mpaka kumoyo, dah Chitikita, think twice if not tripled
 
Kwani wakati mnaanza mlianzia jf?Umetuchosha na habari yako.Hapo ww nenda kwa mwenzako bado anakupenda.
 
na wewe kweli mvumilivu,,,, miaka 7 mnafanyaga matusi tuuu....pole mama....angalau aliweza kulenga ka1, la sivyo wala usingeahangaika kuja hapa....pole mweeee
 
Dada beba mwanao kama umeamua kuachana Na huyo mwanaume...unakaa kabisa unakula chakula kinashuka hujui mtoto wako amekula nini...anaumwa...amekumiss... Duuhh tunatofautiana roho!!

huyu mwanadada Mimi nimemuelewa..

Hana pesa ya malezi ya mtoto na yupo shule kwa sasa...

Ni kweli hafurahishwi na jinsi mtoto wao anavyolelewa lakini atafanyaje sasa...?

Kulea mtoto vilevile kunahitaji commitment na mambo mengi Tu ya zaida...mzazi mwenzie yupo vizuri kiuchumi ndo maana hata alikubali kumuachia mtoto Mara ya kwanza amlee..

kwangu Mimi huyu mwanamke Ni mpumbavu.

alipomuacha mtoto wake kwa huyu jamaa mlevi alitegemea nini? Haya yanayotokea Ni lazima yalikuwa yatokee na aliyajua kabisa....ila anajitoa ufahamu hapa kwa kutafuta sympathy ya wana jukwaa hapa,..


Pengine huko anakosoma kashampata mtu mwingine na kamdanganya Hana mtoto....

wewe mtu Una akili timamu mwanamke umejifungua mtoto Wako kwa uchungu unamuacha mtoto wa kike wa miaka mitano aishi kwa Baba mlevi...??

kweli?


Nyie wanawake mlipewa uwezo finyu Sana wa kufikiria.


Stupid
 

ndoa zote zilizofanikiwa na kudumu katika dunia hii ni zile ambazo kila mwenza alijifunza kustahimili mapungufu ya mwenzake na si vinginevyo.si mapenzi wala mahaba yanayodumisha ndoa,ni uvumilivu wa mapungufu au udhaifu wa mwenza hii ni kutokana kuwa kila mwanadamu ana mapungufu.hata wewe ulipo hapo una yako.tatizo kubwa katika mahusiano ya siku hizi ni pale ambapo mtu anataka fikra zake ziwe reality katika mahusiano.yaani anawaza kupendwa,kudekezwa,kuabudiwa etc etc wakati in reality ni vitu ambavyo mwenza hawezi kuvikamilisha kwa 100% kwani na yeye ni binadamu ana hisia zake na mapungufu yake.Mungu hawezi kukuletea almasi katika sahani ya dhahabu.atakupa wa kufanana nae ndipo sasa muanze ku adjust katika maisha yenu.

kumbuka kuwa mabadiliko hayana muda,mtu anaweza kubadilika akiwa 40 au 45 na ukaenjoy ndoa sana kuliko ilivyo sasa kwani bado wabichi na mihemuko ni mingi.katika mahusiano lazima mjipe nafasi ya kukua na kuwa watu wazima.

kwa maoni yangu ni kwamba huyo ndiyo alikuwa chaguo lako sahihi,ni basi tu wote kwa pamoja mmeshindwa kuwa wavumilivu wa kutosha ili muweze kufikia kule mlikokwenda.
 

Chukua like magnificent...!!
 

Poa mwaya, pole......
 
aaaahhhh kwahiyo umeona ukileta huku ndio itakusaidi?
sasa kwa taarifa yako mtoto nampeleka kijijini akasome huko huko na ukitaka kujua hali yale uwe unakuja kuuliza jamii forum
 



Aisee!!!!!!!!!

Sikiliza nikwambie, isiishi kwakuongozwa na hisia,

Sitaki kutenda dhambi, baba yake mtoto anampenda mtoto wake kuliko unavyofikiria, kwa hilo sina shaka, tatizo mtoto analelewa kwao na yeye yupo hapo kwao sababu anawaangalia pia wazazi wake, tatizo ni waangalizi wa mtoto pale yeye anakuwa kazini na pia nadhani hata familia inatokea kuaminiana ndio maana mtoto anaweza kuachiwa mtoto wa kiume wao wakaona sawa, na ukisema unaonekana unawangilia, zaidi hana shida kabisa na mtoto na muda mwingi huwa na mwanae.

Mimi silalamiki yeye kuwa mtoto, kwakua ni jambo ambalo sina shaka nalo na soon litakuwa ndani ya uwezo wangu. ila ninalalamikia msg za matusi tu. nadhani umeelewa sasa.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…