Wanaume tuheshimiane

Status
Not open for further replies.
Hizo msg si ndio tiketi yako ya kumshtaki???????

Heheheh wewe mwanaume wa CHIKITITA umkomeeeeeeeeeeeeeeeee

Hujui kukataliwa

(Loh ingawa hapa tumesikia hadithi ya upande mmoja....shemeji njoo uelezee upande wako)
 
Last edited by a moderator:
Hizo msg si ndio tiketi yako ya kumshtaki???????

Heheheh wewe mwanaume wa CHIKITITA umkomeeeeeeeeeeeeeeeee

Hujui kukataliwa

(Loh ingawa hapa tumesikia hadithi ya upande mmoja....shemeji njoo uelezee upande wako)

hahah nimekuelewa vyema
 
Last edited by a moderator:
Mie nasubiri bwana shemeji apite.....

I hope hatamwagia mvua ya matusi kwa simu

Nilikua sijui ushenga kumbe una kazi ndefu hivi
niliwahi ona mtu anaombwa kuwa mshenga akakataa
kumbe ni shughuli pevu..kusuluhisha migogoro na kutumwa huko na huko kwa wakwe..utasema wanalipwa..
sasa mshenga huyu itabidi atafute na smart phone kama hana ili apate updates...za kesi hii
 
Khaaa!!! JF ishakuwa agony aunt,mtu unafunguka watu wakusaidie. inasikitisha tatizo hii story ni one side of the coin,hatujui story ya upande wa pili

Hakuna hatari kama sms za kawaida, mim msg za kawaida situmii hata maana najua madhara yake.
 

hizi ligi zenu za kipuuzi zinamuumiza mwanenu na sio nyie..

huyo binti yenu analelewa malezi ambayo hastahili kwa sababu nyie watu wazima mliokomaa na hadi mna minywele kila sehemu ya miili yenu mmeshindwa kukaa chini mkatafakari hatima ya malezi ya mtoto wenu..badala yake mnaendekeza mashindano...na sasa mashindano yenu yamehamia huku kwenye social networks..

hivi unadhani hapa JF hakuna watu wenye matatizo kwenye familia zao tena zaidi ya hayo yako?

anyway,hapa unataka tujifunze nini sasa kwa mfano...nia yako ya kuleta hii mada hapa Ni ipi....

Make naona tayari Una maamuzi yako na haupo kwa ajili ya ushauri...

kikubwa...nyie chezeni mdundiko,makirikiri,ligi,but at the end of the day atakayeathirika Ni huyo,binti yenu mdogo....anayehitaji malezi ya Baba na mama kwa pamoja...

All the best Madam.
 
Kuwa mshenga sio kazi ndogo. Kikinuka unaambiwa unaanzia kwa wasimamizi wa ndoa...kisha mshenga....then ndio wazazi.

Sasa mshenga inabidi anunue smartphone ili atumiwe screenashot za matusi ili akusanye ushahidi




 

BADILI TABIA unampa mtu ushauri ambao hauhitaji na japo huyo baba mtu pengine anastahili lawama kwa kiasi fulani lakini sio kwa asilimia zote kwasababu pengine hayo yanapotokea (mf. mtoto kusafishwa) yeye anakuwa hayupo. Na huyu mwenzie (MTOA MADA na MLALAMIKAJI MKUU) hafanyi lolote kusaidia hiyo situation. Anaishia kulalamika bila kufanya kile ambacho kwa maoni yake ni sahihi/bora zaidi.

#Amesema YEYE ndo aliyemuachia mwanaume mtoto. Sasa kama alijua hatopata malezi mazuri huko au ana wasiwasi kwanini alimuacha huko?
#Amesema alienda ustawi wa jamii kulalamika kuhusu kunyimwa kumuona mtoto, sio kumchukua ila kumuona.
Sasa anatakaje? Mtu utakaaje pembeni ukilalamika "ohh mtoto wa kike anasafishwa na kijana, mtoto wa kike analala na baba mdogo" huku ukiendelea kuishi maisha yako bila kujali kwamba malezi ya bintiye ni jukumu lake pia? Anaonekana ni mtu mlalamishi ambae ha-take responsibility kwa lolote lile. Ye anaona anaonewa tu.
 
Last edited by a moderator:

lazima nyie ni watoto wa uswazi.
Pia umri wenu ni mdogo
 
Yes Lizzy

Hawa baba na mama wa huyo binti wote nadhani hawana muda wa malezi ya mtoto.

Heri wampeleke kwa bibi/ babu wa upande wowote ambao mtoto atakuwa salama. Kisha waendelee kuonyesheana ubabe.





 
Last edited by a moderator:

Kusanya ushahidi nenda Ustawi wa Jamii waambie unamtaka mtoto.
 

Mbona anaezungumziea ni kama wewe mkuu? Acha kuvunga
 
Namuhitaji mtoto hata leo, lakini tatizo ni mtu mwenye roho ya ugomvi nikaona isiwe tabu mtoto huyo mchukue, akamchukua anakaa nae kwa wazazi wake. miaka 5

Dah pole but kama kuna liwezekanalo mchukue mwanao bana ukae nae
"mama tu" ndo anauwezo wa kumpa mwanae "kila kitu na kwa uhakika zaidi"
 
Nashindwa kumblock kwakua ninapotaka kuongea mtoto lazima nimpigie yeye.

unaweza kum-block coz si kila mda utataka kuongea na mwanao we utapotaka kuongea na mwanao una m-blockua(un-block) unampigia ukimaliza block tena au unaweka laini special kwa ajili ya kuwasiliana na mwanao tu ukimaliza unaitoa
 
unaweza kum-block coz si kila mda utataka kuongea na mwanao we utapotaka kuongea na mwanao una m-blockua(un-block) unampigia ukimaliza block tena au unaweka laini special kwa ajili ya kuwasiliana na mwanao tu ukimaliza unaitoa

Umesema kitu, asante
 
Mkishamfuta nafasi yake niwekeni mie.... maana siku hizi navaa suruali na msuli

Hahaha. Japo hili ni tusi, tutakufikiria mpendwa. Meanwhile, kati ya vigezo vya kuwa mwanachama ni pamoja na 1. Uwe na certificate of good conduct, kutoka Interpol. 2. Uwe na uwezo wa kutumia urinals 3. Uwe na uwezo wa kurubuniwa 4. Uwe na serikali mbili (vichwa viwili).

Masharti mengine tutayajadili baada ya kutimiza hayo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…