Wanaume tuache kugeuka

Wanaume tuache kugeuka

mkada

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,200
Reaction score
908
Hii imetokea leo mlimani city eneo ilipo bank ya nmb, ambapo jamaa mmoja mtanashati alipogongana uso kwa uso na njemba moja iliyokuwa imeongozana na mke wake sijui yule. Yule mdada alikuwa amemwacha jamaa yake kama pace chache nyuma, na baada ya kupishana na jamaa huyu mtanashati,jamaa aligeuka nyumba kumwangalia yule dada ndipo alipogongana na jamaa,ambapo njemba ilimaind sana coz ilijua sababu ni yule jamaa kugeuka na kumwangalia demu wake.Usuluhishi wa chapchap ulifanyika ambapo yule jamaa mtanashati alitokea kwenye vyoo vya mlimani city huku demu akirudi na kujaribu kumkanda na leso njemba wake ambaye alionekana kuumia usoni.........Jamani wanaume tubadilike ,hii tabia ni mbaya sana,mi mwenyewe nilikuwaga nayo ila nimeacha....ukishindwa kabsa kuvumilia basi kabla ya kupishana na mwanamke,simama kwa pozi,tafuta kasababu halafu geukia uelekeao anaoenda mwanadada then piga picha haraka haraka na zisave kwenye memory yako zikakusaidie kama huwa zinawasaidia.
 
ah wacha aangalie bwana....ndio uzuri wa pale mlimani. kwenda kuona wadada wakiwa wamepwndeza baadae ukampigie nyeto
 
Haaaa! Hasa hao wenye Inye kubwa wamevaa hizo transparent za kutait ndio wanaotuletea ajali mpaka magari yanagongana ci mnajua inye kaugonjwa ka most Men!.
 
bora umetusaidia, labda kwa kuwa umesema wewe he mwenzao huenda wakakusikia.
Kiukweli wanaume wa aina hii wanakera sana!!
Ni aibu ht kuongozana nao.
 
Watu wanatoa madushelele yao na kuyasugulia kwenye makalio ya kina dada kwenye daladala ndo itakuwa hiyo ya kuangalia tu!? By the way, mimi mwenyewe huwa nageuka nawaangalia, labda nikiwa na mama au baba ndo huwa siangalii.
 
ah wacha aangalie bwana....ndio uzuri wa pale mlimani. kwenda kuona wadada wakiwa wamepwndeza baadae ukampigie nyeto
Porfesa wangu kabudi palamagamba anaita "kula wazo"
 
bora umetusaidia, labda kwa kuwa umesema wewe he mwenzao huenda wakakusikia.
Kiukweli wanaume wa aina hii wanakera sana!!
Ni aibu ht kuongozana nao.
Surprisingly,eti hii tabia inawakera sana akina dada wakati wao ndo wanavaa vibaya mpaka wanasababisha wanaume wanageuka,ila hata hivyio wanaume tumezidi,kuna wengine hata hawavai vibaya,ana sura nzuri tu basi utataka uhakikishe na nyuma yukoje,,,lol.
 
ah wacha aangalie bwana....ndio uzuri wa pale mlimani. kwenda kuona wadada wakiwa wamepwndeza baadae ukampigie nyeto
Mlimani city ni noma yaani unaweza ukawa unazunguka tu toka mwanzo wa jingo mpaka mwisho,na siku ikaenda bila kujuta.
 
Mlimani city ni noma yaani unaweza ukawa unazunguka tu toka mwanzo wa jingo mpaka mwisho,na siku ikaenda bila kujuta.

pale ndio penyewe bana...full kuangalia makalio mie
 
HII DHAMBI YA KUGEUKA NIMEISHINDA MACHO MBELE DAIMA:smiling:
 
Afu mkishageuka mkatukagua hua mnapata nini kama faida??
 
Afu mkishageuka mkatukagua hua mnapata nini kama faida??
Mi huaga tu interested to compare if rear and front views correlates or complements each other, thats all, wangine wataongezea sababu za kwao/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom