Wanaume tafuteni pesa!!!

Wanaume tafuteni pesa!!!

Dada mwambie mhudimu akuhudumie chibuku, popote ulipo nakuja kulipia,

safi sana!!

"Huu uzi wana wa six pack watapita wanaungalia kama mafwiiii mabichi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe kwani raha ina gharama zake ila tukumbushe kuwa Kuku hula Sawa na mdomo wake na huwa hapaliwi. Angalia hata kinyaia ameamua kubeba mtu Sawa na nyanya yake! Hivyo above 35 kama huna hela ni vyema ukamuiga Ben kinyaia ukabeba over 50 years baadala ya kutafuta less than 25
Cc: Mzee kapuya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume huwa hawapendi kuusikia ukweli, ila pesa na mapenzi ni pande mbili za sarafu zinazotegemeana.
Tafuteni pesa acheni kushinda kwenye mitandao mkitukana serikali na kupiga umbea. Heshima yako iko mikononi mwako,usijekusema hauheshimiwi kumbe ni vile umeshindwa kujitengenezea heshima mjini.
Very good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasa mliofikisha miaka 36 na kuendelea, msipokuwa na pesa mnakuwa hovyohovyo hamna swaga, hamjiamini kila saa kusumbuana kwa msg, mvi zinawatoka, majasho, makunyazi, munakosa nuru kunawiri kwa ufupi munakuwa waovyo.

Mwanamume mwenye pesa mob mutamu sana, self confidence, napewa nachotaka ananukia , anapaka Mafuta RS ngozi mororo, hakuna kuzeeka mumuangalie pdiddy au muzee mwanakijiji humu hazeeki.
Wewe binadamu hawalingani wewe chagua unayemtaka acha lalama unataka wenye pesa wapo wakina kipuya wamejaa tele the choice is yours

mpuuzi mpuuzi tu
 
oo Yeah total turnoff mwanawume asiye na pesa huyu hata hotelin he will ask price of water before ordering.

money is everything mwanaume asiye na hela anakuwa musumbufu sana kind of zezeta.
Na mwanamke timamu hapendi mtu kisa pesa nadhani umeelewa namaanisha wewe ni nani hapo
 
Hasa mliofikisha miaka 36 na kuendelea, msipokuwa na pesa mnakuwa hovyohovyo hamna swaga, hamjiamini kila saa kusumbuana kwa msg, mvi zinawatoka, majasho, makunyazi, munakosa nuru kunawiri kwa ufupi munakuwa waovyo.

Mwanamume mwenye pesa mob mutamu sana, self confidence, napewa nachotaka ananukia , anapaka Mafuta RS ngozi mororo, hakuna kuzeeka mumuangalie pdiddy au muzee mwanakijiji humu hazeeki.

wacha pesa tuzitafute kwa kweli maana ukizipata full confidence na warembo kujigongagonga tuu...unajigegedea mrembo mpya kila wikend. wacha pesa iitwe sabuni ya roho kwa kweli
 
Mimi ningekua na umungu flani hivi, watu kama wewe ningeteketeza sana kwa radi.. Hata kama daslam hakuna mvua.

Bloody fool.
 
oo Yeah total turnoff mwanawume asiye na pesa huyu hata hotelin he will ask price of water before ordering.

money is everything mwanaume asiye na hela anakuwa musumbufu sana kind of zezeta.
Acha kukufuru, usimuite mtu zezeta Kwa kukosa PESA
 
Huku wanatafuta na sisi wanawake tuamkeni tutafuteni za kwetu. I can't say this enough times.


It's the only way tutamkomboa the girl child na kuthibitisha a woman's place is certainly not limited to the kitchen. The only money you can enjoy with no limits and without trading your body is you own hard earned money. Not your boyfriends and certainly not your Fathers.

Sisi tukiwa nyumbani miguu juu tukisubiri kupewa, ndo tuvae na mkono uende kinywani, no one will believe in the power of the woman. Nani atakubali kumuwezesha mtoto wa kike wakati hajaonyesha kwamba anaweza?

I have posted before in this same thread and I hope it makes a positive impact.
 
Back
Top Bottom