Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
well said mlongo wangu.....kuna mateja haswaaaaaaaaaaaaaaa...... yaani hao hawaangalii kulia wala kushoto, ni macho mbele tu, lol!wengine tuna mateja yetu!akha!twanuna tu usingizi ukitupitia,kisa umetupunguzia muda wa kuangakia macho!LOL!
AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA NA KUNIPA BARAKA YA KUUFURAHIA UANAMKE WANGU KIASI HIKI!
another DOMPO dah!AshaDii umenena vyema sana ila jamani naombeni nifunguke hapa kiualimu na chonde chonde mods msifute hii post wala kunilima ban lolest!
kwanza kabisa naomba nigeuke upande wa pili wa mtoa mada sitojadili kabisa matatizo ya wanaume ama ya upendo kwani waliotangulia wamesha sema.
dada hapo kinachokuongoza wewe ni hasira tena ambazo umezielekeza kwenye kutiwa kuliko kwenye kutafuta suluhu ya tatizo lako. umeweka moyo wako kwamba nimkomoe huyu bf kwa kupata mwenza ambaye atanipa raha tu na si kitu kingine zaid.
unapotamani kusagana na mwenzio kisa maudhi ya mwanaume nakutafsiri kwa namna mbili kwamba huyo mwanaume hakuwa anakutia vizuri so unataka kujaribu kutiana na msichana mwenzio ili upate raha stahiki na upande mwingine nakutafsiri kwamba ni tabia yako ya kusagana sasa gf wako wote wameshaondoka kundini so unataka ingizo jipya.
naamin katika furaha ya mtu ila siamini katika kupata furaha kinyume na taratizbu ambazo zimezoeleka na zinazoleta hisia mbaya maskioni mwa mtu. ni kweli kwamba utatumia dildo, mtasuguana visimi mtanyonyana nyuchi nk lkn ukasahau kwamba mwisho wa siku ungependa kuwa mahusiano ambayo hata mtu akikukuta mahali hata uliza kwann iko hivi. leo hii ukitoka na bf wako hata mkilaliana hadharani watu wataona poa tu ila ukiwa na msichana mwenzio mkakaliana kiasara tayari unageuka kuwa dar gumzo. kwangu mm huu ni ujinga na badala ya kujipa raha unajinyanyasa mwenyewe. mahusiano yasiyokuwa na amani bado ni mateso badala ya kuwa na raha. huwez ukarudi kwenu ukamwambia baba eti huyu ndo mume wangu (female) dah! sipat picha kwamba hata tu wazazi wako kuhisi kitu hicho kama utakuwa na amani nacho.
acha kuelekeza mawazo yako kwenye starehe ya kunyonywa kisimi na elekeza mawazo yako kwenye kupata amani nafsini iletayo raha. kukwaruzana kupo na hapo inakupasa ujifikirie unapitaje hapo na sio kufikiria kuuendea ubaya.
nisameheeni kwa kutumia lauagha ngumu.ila mwl huwa hana njia rahisi ya kuelewesha zaid ya kutumia mifano migumu.
Hebu nitumie PM nikuunganishe na mdada mmoja hivi ni mzuri sana wa hii mambo hapa mjini......wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
wengine tuna mateja yetu!akha!twanuna tu usingizi ukitupitia,kisa umetupunguzia muda wa kuangakia macho!LOL!
AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA NA KUNIPA BARAKA YA KUUFURAHIA UANAMKE WANGU KIASI HIKI!
hapo kwenye red umenichanganya kidogo, ndo kusema wenzetu mna mioyo mingi? kama kila mmoja unampenda kwa moyo wote basi unahitaji mioyo mi3 kupenda wanawake wa3
wewe sema tu kuwa mna uwezo wa kuzuga kupenda kwa moyo wote kumbe hakuna kitu........
kuna ambao wanaambulia asilimia 0 kwenye huo mchanganuo wa kupendwa
vidole vigumu
mtaota sugu bure
Ana pole sana Sasa hapa sijakuelewa Wanaume ni stress sababu anawanawake wengi ama sababu kakudanganya? Ni wachache wenye kupenda mmoja na kugandana na huyo kila wakati. Ukweli ni kwamba mwanaume anaweza akwa na wanawake sita na akawapenda wote kabisa. Mwingine sababu anafurahia company, mwingine sababu wapo compactible on bed na mwingine sababu labda umemzalia mtoto ama watoto na ni mke na sababu nyingine nyingi tu. Is it right? Hapana! BUT bahati mbaya sana habari ndio hiyo...
Huwa nawashangaa sana wenye mapenzi ni almost perfect kila kitu kipo katika mstari but bado haridhiki na kutaka kuchokoa mengine zaidi ya hapo kwa kutafuta kasoro zilizopo! Ukiwa katika mahusiano, ukiona kila kitu kipo sawa na wafurahia mahusiano live the moment na ufurahie maisha (hope na wewe ulifanya hivo)
For believe me you kuna wakati tu utafika utakuta kuwa hay ohayo mapenzi ni machungu hadi unajikuta unafungua thread kwa hasira na lawama nyingi or kufanya lolote lile mradi ujisikie amani. Kila la kheri kwenye kupoa
rafiki yangu BAK na mi ni mtu wa cheko ile mbaya!nakupa ruhusa umuulize dada mkubwa kitu atakwambia halafu utasema mwenyewe!lol!siye kucheka raha ati!
umeona eeeeeh!
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
Umeongea vizuri sana mkuu,
Mimi labda niwatoe woga tu wanawake, ni kwamba wanaume wakipenda wanapenda kweli tena kwa moyo wote ila shida
iliyopo ni kupenda mmoja tuu katika life yake, hii inakuwa kama vile hajazitumia vizuri neema zilizopo (si vyema hata hivo)!
Lakini hali hii huenda inapungua siku hadi siku, akifikia kwenye (40-45) wengi huwa wanaanza kutulia na kuhudumia familia
zao ikiwa ni pamoja na kuhangaikia maakazi ada za shule n.k.
Ushauri
Kama upo kwenye uhusiano na mwanamme anakupenda mnapendana, endeleeni kupendana na jaribu kumuweka karibu
kisaikolojia hata ukihisi kuna kimada pembeni, usijaribu kumkorofisha utampoteza, na hata ukipata mwengine ni hayo2
na labda wa mwanzo anaweza akawa nafuu !!
Ukishindwa yote haya basi tafuta mzee, utapata akiwa ametulia, ila sijui kama utayapata vyema mambo yaleeeeeeee!!
Wewe kweli uchizi umeshaupata yaani unataka usagane na mwanamke mwenzako kutatua tatizo la mwanaume wako??
Hovyo kabisa .....nina zako.............
Nipo pouwa kabisa...naendelea kulisukuma gurudumu la maisha taratibu!Cheka uongeze siku mwaya mzima lakini wewe???