Liwengi
Member
- May 15, 2011
- 29
- 7
Naona bi FaizaFoxy haungwi mkono na wadau wanaojaribu kuchangia mada hii.
Mimi kwa upande wangu namwunga mkono kabisa bi FaizaFoxy kwa mchango wake. Ni ujinga kuanza kumlaumu mwanamme aliyeweka mimba wakati hakukuwa na mpango wowote mzuri katika huko kuweka hiyo mimba kwa mwanamke husika. Nionayo mimi ni kwamba, iwapo msichna au mwanamke atapata mimba bila mpango maalum, huyo anapokosa huduma kwa mume aliyempa mimba asilaumu. Hii itakuwa ni kwa sababu amejitakia mwenyewe kwa uasherati wake.
Uasherati ni dhambi kwa dini zote na hata kwa wasio na dini. Inakuwaje mwanamke uanze kufanya ujinga huo bila mpangilio kisha uanze kumlaumu huyo mjinga mwenzako? Hilo unatakiwa kulikomalia mwenyewe wala usimlaumu mtu.
Iwapo mhusika kabakwa na kupata mimba hilo ni suala jingine, mhusika huyo hata vyombo vya dola vitamsaidia. Mwenyewe umefungua pochi yako na kuiweka wazi mbele ya wahuni, kisha mhuni moja akaja na kuweka sumu ndani yake huku unaangalia na kumsaidia uhuni wake na kuchekelea kw furaha, halafu eti akishakamilisha kile alichotaka na kuondoka zake, unamwambia mbona anakuacha solemba.....ala!
Kifupi tuache uzinzi, tupate watoto kwa njia halali yaani watoto katika ndoa, tukiwa hivyo hata watoto wa mitaani watapungua kama siyo kutoweka kabisa.
Mimi kwa upande wangu namwunga mkono kabisa bi FaizaFoxy kwa mchango wake. Ni ujinga kuanza kumlaumu mwanamme aliyeweka mimba wakati hakukuwa na mpango wowote mzuri katika huko kuweka hiyo mimba kwa mwanamke husika. Nionayo mimi ni kwamba, iwapo msichna au mwanamke atapata mimba bila mpango maalum, huyo anapokosa huduma kwa mume aliyempa mimba asilaumu. Hii itakuwa ni kwa sababu amejitakia mwenyewe kwa uasherati wake.
Uasherati ni dhambi kwa dini zote na hata kwa wasio na dini. Inakuwaje mwanamke uanze kufanya ujinga huo bila mpangilio kisha uanze kumlaumu huyo mjinga mwenzako? Hilo unatakiwa kulikomalia mwenyewe wala usimlaumu mtu.
Iwapo mhusika kabakwa na kupata mimba hilo ni suala jingine, mhusika huyo hata vyombo vya dola vitamsaidia. Mwenyewe umefungua pochi yako na kuiweka wazi mbele ya wahuni, kisha mhuni moja akaja na kuweka sumu ndani yake huku unaangalia na kumsaidia uhuni wake na kuchekelea kw furaha, halafu eti akishakamilisha kile alichotaka na kuondoka zake, unamwambia mbona anakuacha solemba.....ala!
Kifupi tuache uzinzi, tupate watoto kwa njia halali yaani watoto katika ndoa, tukiwa hivyo hata watoto wa mitaani watapungua kama siyo kutoweka kabisa.