Wanaume single na wanawake single tukutane hapa

Wanaume single na wanawake single tukutane hapa

Mie bado natunza uvulana wangu, inasemekana wanawake wa siku hizi wanakuchezea wanakuacha afu mwisho wa siku wanakutangaza una kibamia😀😀😀
 

Attachments

  • IMG_20170727_214813_330.jpg
    IMG_20170727_214813_330.jpg
    7 KB · Views: 33
halafu wewe endelea kutafuta bikra
Nilishatafuna bikra kibao kiasi sioni raha zake! Upuuzi wetu wanaume tunadhani ukiikuta bikra hatakusaliti. Bikra ni mgogoro maana anafundishwa na mikungwi kama wewe kuwa yule ana kibamia then anaanza kujaribu. Ni bora kutafuta mwenye sugu aliyetulia kuliko bikra. Umenipata?
 
miaka hii mke/mume unatakiwa uanze nae kuanzia shule ya msingi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Domo zege mpaka ukiwa umejificha nyuma ya keyboard

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Hahaaaa usingo raha Sana asikwambie mtu
 
Back
Top Bottom