Wanaume single na wanawake single tukutane hapa

Wanaume single na wanawake single tukutane hapa

Wachache wanafurahia kua single, ila wengi hawafurahii.

Kuna changamoto gani unaipata ya kuwa single, na kwanini upo single hadi muda huu? Tujulishane hapa.

Kama wewe unahitaji kutatuliwa u-single wako humu na single mwenzako aliyehumu, comment sifa zako na sifa za umtakaye kisha mnaovutiana mtapeana contacts zenu PM.

Nikianza na mimi ni ME, nipo single toka nalia ng'aa. Nafurahia u-single wangu mpaka nitakapo taraji kuoa. Nipo single kwa sababu za kiimani. (muislamu).

Ila endapo nikipata mchumba sitafanya naye tendo la ndoa hadi nioe. Na namuomba Mungu anipe yule ambaye na yeye bado. Na najua kibinadamu ni vigumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
Wackuiz wanapenda bilinganya la sivyo utakimbiwaa.... Ohoo!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke single anasumbuliwa na stress.
Bajeti ya maisha inamtesa.
1: House rent
2: School fees
3: chakula,mavazi
4: hapati chakula cha usiku sex.
 
We sema kama upo single na una search ma sio story nyingi

mwanza kwetu
Haahhaahahahaaaaaaaaa ngoja kwanza nicheke maana naona umepanic.........ebu kwanza kunywa maji akili ikae sawa
 
Back
Top Bottom