Wanaume single na wanawake single tukutane hapa

Wanaume single na wanawake single tukutane hapa

Wachache wanafurahia kua single, ila wengi hawafurahii.

Kuna changamoto gani unaipata ya kuwa single, na kwanini upo single hadi muda huu? Tujulishane hapa.

Kama wewe unahitaji kutatuliwa u-single wako humu na single mwenzako aliyehumu, comment sifa zako na sifa za umtakaye kisha mnaovutiana mtapeana contacts zenu PM.

Nikianza na mimi ni ME, nipo single toka nalia ng'aa. Nafurahia u-single wangu mpaka nitakapo taraji kuoa. Nipo single kwa sababu za kiimani. (muislamu).

Ila endapo nikipata mchumba sitafanya naye tendo la ndoa hadi nioe. Na namuomba Mungu anipe yule ambaye na yeye bado. Na najua kibinadamu ni vigumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
Vizuri kama ni kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heheheheheheheeee😉😉😉😉
Njoo basi pm msianze kulalamika Mara waoaji hawapo Mimi nimekuja mahari nalipa nakuchukua ili mradi uwe unajiheshimu ila usiwe unakunywa pombe Mimi sinywi zaidi ya juice karibu
 
wakuu mimi nipo single kwa sababu am OVERQUALIFIED!!! Yani kuanzia muonekano mpaka material things...!! caring, good lover, always listening.. yani mpaka nikimtongoza mwanamke anajistukia kama haamini amini wengine hadi wananikataa kwa sababu zao zile za "Good looking man is not for one woman alone"!! Ndio maana siku hizi mimi nawahonga napiga mzigo natembea mbele.. yaahh sasa ulitegemea mimi nifanyaje..!! No offense.
 
Njoo basi pm msianze kulalamika Mara waoaji hawapo Mimi nimekuja mahari nalipa nakuchukua ili mradi uwe unajiheshimu ila usiwe unakunywa pombe Mimi sinywi zaidi ya juice karibu
Heheheheeeee njoo nile hiyo mahari yako kwanza
 
wakuu mimi nipo single kwa sababu am OVERQUALIFIED!!! Yani kuanzia muonekano mpaka material things...!! caring, good lover, always listening.. yani mpaka nikimtongoza mwanamke anajistukia kama haamini amini wengine hadi wananikataa kwa sababu zao zile za "Good looking man is not for one woman alone"!! Ndio maana siku hizi mimi nawahonga napiga mzigo natembea mbele.. yaahh sasa ulitegemea mimi nifanyaje..!! No offense.

Mh!
 
Wachache wanafurahia kua single, ila wengi hawafurahii.

Kuna changamoto gani unaipata ya kuwa single, na kwanini upo single hadi muda huu? Tujulishane hapa.

Kama wewe unahitaji kutatuliwa u-single wako humu na single mwenzako aliyehumu, comment sifa zako na sifa za umtakaye kisha mnaovutiana mtapeana contacts zenu PM.

Nikianza na mimi ni ME, nipo single toka nalia ng'aa. Nafurahia u-single wangu mpaka nitakapo taraji kuoa. Nipo single kwa sababu za kiimani. (muislamu).

Ila endapo nikipata mchumba sitafanya naye tendo la ndoa hadi nioe. Na namuomba Mungu anipe yule ambaye na yeye bado. Na najua kibinadamu ni vigumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
Sema hautazini nae, maana tendo la ndoa hufanywa na waliooana.

The Great Gatsby
 
Wachache wanafurahia kua single, ila wengi hawafurahii.

Kuna changamoto gani unaipata ya kuwa single, na kwanini upo single hadi muda huu? Tujulishane hapa.

Kama wewe unahitaji kutatuliwa u-single wako humu na single mwenzako aliyehumu, comment sifa zako na sifa za umtakaye kisha mnaovutiana mtapeana contacts zenu PM.

Nikianza na mimi ni ME, nipo single toka nalia ng'aa. Nafurahia u-single wangu mpaka nitakapo taraji kuoa. Nipo single kwa sababu za kiimani. (muislamu).

Ila endapo nikipata mchumba sitafanya naye tendo la ndoa hadi nioe. Na namuomba Mungu anipe yule ambaye na yeye bado. Na najua kibinadamu ni vigumu ila kwa Mungu yote yanawezekana.
Hongera
 
Back
Top Bottom